Nchi ngumu sana hii, Airtel nao wamepunguza Kamisheni kwenye miamala

Nchi ngumu sana hii, Airtel nao wamepunguza Kamisheni kwenye miamala

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Mjanja M1 naelekea kuiacha hii biashara ya miamala maana naona mazoea yamezidi kila uchwao, walianza Tigopesa kupunguza asilimia 10% kwenye miamala na sasaivi Airtel wamefuata huo Utoto.

Yani hapa nimlipe Mfanyakazi, nilipe pango, nilipe TRA n.k

Aisee! Hii nchi kila mtu anajiamulia atakacho bila ya kujali washirika wake.

AIRTEL MMEKOSEA SANA KUPUNGUZA COMMISSION KIENYEJI.
 
Kuna kitu kinaendelea na hakuna ukweli wowote unaowekwa hadharani.

Nape anatuchezea akili raia kwa faida yake.

Vocha kwasasa zinaongezeko la asilimia 10 ya bei. Yaani vocha ya 500 inauzwa 550,ya 1,000 inauzwa 1,100, ya 2000 ni 2,200 ya 5,000 ni 5,500 na ya 10,000 ni 11,000 huu upuuzi nape amekaa kimya hakuna anachosema.

Natumai siku tutakapopata nafasi ya kuwawajibisha hawa nguruwe hakuna mtu atatokea kuwatetea kwa lolote lile.
 
Mjanja M1 naelekea kuiacha hii biashara ya miamala maana naona mazoea yamezidi kila uchwao, walianza Tigopesa kupunguza asilimia 10% kwenye miamala na sasaivi Airtel wamefuata huo Utoto.

Yani hapa nimlipe Mfanyakazi, nilipe pango, nilipe TRA n.k

Aisee! Hii nchi kila mtu anajiamulia atakacho bila ya kujali washirika wake.

AIRTEL MMEKOSEA SANA KUPUNGUZA COMMISSION KIENYEJI.
TRA si hukuta kodi yao direct?

#YNWA
 
Mjanja M1 naelekea kuiacha hii biashara ya miamala maana naona mazoea yamezidi kila uchwao, walianza Tigopesa kupunguza asilimia 10% kwenye miamala na sasaivi Airtel wamefuata huo Utoto.

Yani hapa nimlipe Mfanyakazi, nilipe pango, nilipe TRA n.k

Aisee! Hii nchi kila mtu anajiamulia atakacho bila ya kujali washirika wake.

AIRTEL MMEKOSEA SANA KUPUNGUZA COMMISSION KIENYEJI.
Hii asilimia 10 mbona iko zaman sana ama ww ni wakala mpyaa,kote mpk mabank kamishen zikitoka wanakata 10 asilimia ya kodi
 
Back
Top Bottom