Nchi ngumu sana hii hadi chombo cha serikali (TBC) wanahamasisha kamali ya Upatu

Nchi ngumu sana hii hadi chombo cha serikali (TBC) wanahamasisha kamali ya Upatu

Thailand

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2019
Posts
275
Reaction score
795
Now Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, Kila Tv na radio habari yao ni moja tu "cheza ushinde kwa buku tu" hii inafikirisha sana. Inaamana Uchumi wetu umeporomoka sana kiasi kwamba kila mwananchi anavizia mchongo wa kamali ili kutimiza malengo.

Uchumi huru kwa wananchi hasa wa hizi nchi maskini kama Tanzania ni ule unaotokana na shughuli halisi za uzalishaji mali (tangible assets) kama kilimo, uvuvi, ufugaji,ubunifu katika ujasiriamali, viwanda, n.k kwa sababu zinaongeza thamani ya mapato halisi ya mtu na taifa na hivyo kupelekea utengamo wa bei (price stabilization)

Lakini cha ajabu badala ya chombo cha habari cha Taifa kukemea kamali nchini na kusisitiza kukuza uchumi kwa shughuli halisi za uzalishaji wao sasa hivi wanahimiza kamali inayoitwa mbungi mtonyo.

Athali za hii kitu kamali
  • Jamii kukosa ubunifu katika kuzalisha mali nchini.
  • Wananchi wa kuonekana ni vilaza sana maana wanachukuliwa pesa zao kizembe kwa kuhaidiwa kushinda 1 ml. Hii inaonesha namna mfumo wetu wa elimu ulivyo hovyo.
  • Umaskini kuendelea kukithiri miongoni mwa watanzania kwa kuamini one day watatoboa mbungi mtonyo na baadhi ya kamali zinazochezeshwa kwenye kila chombo cha habari
 
Vijana nao wanahamasika kuishi kwa kucheza michezo ya kubahatisha kwa maana hakuna ajira.

Mbaya zaidi kuna baadhi wapo ktk ajira na wanaendekeza kubet. Huko mbele tutapata kundi kubwa la vijana wenye sonona na matatizo ya akili kwa kupendelea kamali. Ni wakati wa kujitafakari sasa.
 
Mie huwa sisikilizagi redio Wala tv Sasa bana Kuna siku si nikakaa mahala nikaamua tv kuipa kichwa changu. Yaani mama wewe adi nilisema Basi.

Yaani kila kinachoongelewa hapo watu wanajitahidi tu kuchukua ulicho nacho na huku wewe ukibakia ukiwa hauna kitu.

Yaani Basi tu hii dunia ya one dog eats dog.

Kama hapa nimekaa sehemu nakuambia Ni kubashiri tu wanatangaza as if ndio tutakayorithisha kizazi chetu
 
Mie huwa sisikilizagi redio Wala tv Sasa bana Kuna siku si nikakaa mahala nikaamua tv kuipa kichwa changu. Yaani mama wewe adi nilisema Basi. Yaani kila kinachoongelewa hapo watu wanajitahidi tu kuchukua ulicho nacho na huku wewe ukibakia ukiwa hauna kitu.
Yaani Basi tu hii dunia ya one dog eats dog.
Kama hapa nimekaa sehemu nakuambia Ni kubashiri tu wanatangaza as if ndio tutakayorithisha kizazi chetu
Utasikia Bibi yao akiwaambia " mkalitazameni na hilo"
 
Kuna station Moja ya radio utasikia wanaanza kwa kuongea kuhusu kupata mtaji wa kufanya biashara mara viwanja vya kujenge nyumba utazani labda Kuna project fulani imeanzishwa mwisho unaamasishwa ucheze kamali eti ndio utavipata kiurahisi hi nchi imeshapoteza muelekeo
 
Now Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, Kila Tv na radio habari yao ni moja tu "cheza ushinde kwa buku tu" hii inafikirisha sana. Inaamana Uchumi wetu umeporomoka sana kiasi kwamba kila mwananchi anavizia mchongo wa kamali ili kutimiza malengo.

Uchumi huru kwa wananchi hasa wa hizi nchi maskini kama Tanzania ni ule unaotokana na shughuli halisi za uzalishaji mali (tangible assets) kama kilimo, uvuvi, ufugaji,ubunifu katika ujasiriamali, viwanda, n.k kwa sababu zinaongeza thamani ya mapato halisi ya mtu na taifa na hivyo kupelekea utengamo wa bei (price stabilization)

Lakini cha ajabu badala ya chombo cha habari cha Taifa kukemea kamali nchini na kusisitiza kukuza uchumi kwa shughuli halisi za uzalishaji wao sasa hivi wanahimiza kamali inayoitwa mbungi mtonyo.

Athali za hii kitu kamali
  • Jamii kukosa ubunifu katika kuzalisha mali nchini.
  • Wananchi wa kuonekana ni vilaza sana maana wanachukuliwa pesa zao kizembe kwa kuhaidiwa kushinda 1 ml. Hii inaonesha namna mfumo wetu wa elimu ulivyo hovyo.
  • Umaskini kuendelea kukithiri miongoni mwa watanzania kwa kuamini one day watatoboa mbungi mtonyo na baadhi ya kamali zinazochezeshwa kwenye kila chombo cha habari
Kuna wajinga hawatakuelewa
 
Now Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, Kila Tv na radio habari yao ni moja tu "cheza ushinde kwa buku tu" hii inafikirisha sana. Inaamana Uchumi wetu umeporomoka sana kiasi kwamba kila mwananchi anavizia mchongo wa kamali ili kutimiza malengo.

Uchumi huru kwa wananchi hasa wa hizi nchi maskini kama Tanzania ni ule unaotokana na shughuli halisi za uzalishaji mali (tangible assets) kama kilimo, uvuvi, ufugaji,ubunifu katika ujasiriamali, viwanda, n.k kwa sababu zinaongeza thamani ya mapato halisi ya mtu na taifa na hivyo kupelekea utengamo wa bei (price stabilization)

Lakini cha ajabu badala ya chombo cha habari cha Taifa kukemea kamali nchini na kusisitiza kukuza uchumi kwa shughuli halisi za uzalishaji wao sasa hivi wanahimiza kamali inayoitwa mbungi mtonyo.

Athali za hii kitu kamali
  • Jamii kukosa ubunifu katika kuzalisha mali nchini.
  • Wananchi wa kuonekana ni vilaza sana maana wanachukuliwa pesa zao kizembe kwa kuhaidiwa kushinda 1 ml. Hii inaonesha namna mfumo wetu wa elimu ulivyo hovyo.
  • Umaskini kuendelea kukithiri miongoni mwa watanzania kwa kuamini one day watatoboa mbungi mtonyo na baadhi ya kamali zinazochezeshwa kwenye kila chombo cha habari
Mbungi mtonyo
 
Now Tanzania imekuwa nchi ya ajabu sana, Kila Tv na radio habari yao ni moja tu "cheza ushinde kwa buku tu" hii inafikirisha sana. Inaamana Uchumi wetu umeporomoka sana kiasi kwamba kila mwananchi anavizia mchongo wa kamali ili kutimiza malengo.

Uchumi huru kwa wananchi hasa wa hizi nchi maskini kama Tanzania ni ule unaotokana na shughuli halisi za uzalishaji mali (tangible assets) kama kilimo, uvuvi, ufugaji,ubunifu katika ujasiriamali, viwanda, n.k kwa sababu zinaongeza thamani ya mapato halisi ya mtu na taifa na hivyo kupelekea utengamo wa bei (price stabilization)

Lakini cha ajabu badala ya chombo cha habari cha Taifa kukemea kamali nchini na kusisitiza kukuza uchumi kwa shughuli halisi za uzalishaji wao sasa hivi wanahimiza kamali inayoitwa mbungi mtonyo.

Athali za hii kitu kamali
  • Jamii kukosa ubunifu katika kuzalisha mali nchini.
  • Wananchi wa kuonekana ni vilaza sana maana wanachukuliwa pesa zao kizembe kwa kuhaidiwa kushinda 1 ml. Hii inaonesha namna mfumo wetu wa elimu ulivyo hovyo.
  • Umaskini kuendelea kukithiri miongoni mwa watanzania kwa kuamini one day watatoboa mbungi mtonyo na baadhi ya kamali zinazochezeshwa kwenye kila chombo cha habari
Hatari sana!
 
Hakuna cha kufanya zaidi ya kamali,kukata mauno bng fleva

Ova
 
Back
Top Bottom