Nchi nyingi zakatisha mahusiano na Israel. China waifuta kabisa kwenye ramani. Tanzania tufuatie

Nchi nyingi zakatisha mahusiano na Israel. China waifuta kabisa kwenye ramani. Tanzania tufuatie

Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.

View: https://twitter.com/TheAfricaReport/status/1721759131432890391?t=AQei1ePUyyY3gDtkOMrpiw&s=19
 
lakini Hamas walipovamia na kuua wanawake na watoto mlishangilia !!, waislamu hua ni watu wa ajabu sana. Mwanakulitafuta akipelekewa moto anaanza kulalama, tuliemi nadhani madrasa mlifundishwa kuinama vizuri
Hakuna aliyeshangilia kuuliwa watoto na hakuna ushahidi mpaka sasa kama waliuliwa.Na wewe usishangilie kuuliwa mpaka wafanyakazi wa UN.Tulia tu uone mwisho wa taifa ulipendalo
 
Hakuna aliyeshangilia kuuliwa watoto na hakuna ushahidi mpaka sasa kama waliuliwa.Na wewe usishangilie kuuliwa mpaka wafanyakazi wa UN.Tulia tu uone mwisho wa taifa ulipendalo
nasubiri kuona mwisho mpini utakapowafikia magaidi natunaini wataendelea kuinama kama mlivyofundishwa
 
Wayahudi wamepita katika mateso makali yasiyo na mfano kwa karne nyingi katika mataifa mbalimbali walikochukuliwa! Mpaka ndoto yao ya kurudi katika ardhi ya Mababu zao ilipotimia 1948! Kwa hiyo kwa mateso waliyopitia hawako tayari kumskiliza mtu ye yote linapokuja swala la kutaka kuwatoa katika ardhi yao.
Pili ukiangalia kwa makini Wayahudi hawapendi kuchokozwa! Wakichokozwa ni Jino kwa Jino!
 
Weka chanzo sasa cha hii historia.
Baada ya kukuwwkea chanzo, umeona sasa jinsi hawa Wayahudi(Wasiomuogopa Mungu) walivyo waharibifu?

1. Banking system yenye kufuata Usury(Riba) ilikuwa perfected na akina Rothschild Wayahudi, na imewapa utajiri mkubwa sana wa Mataifa.

2. Movement ya kuua Ukiristo na kuistriff Europ off christianity, nyuma yake kuna Wayahudi wenye chuki kali mno dhidi ya Ukiristu.

3. Movement za Mashoga, na kuusambaza Ushoga, behind the Scene unawakuta hawa jamaa na Influence yao ktk Entertainment na media industry

4. Leo nimekuwekea information uone nani alikuwa behind dawa za Kulevya zilizoivunja China kutoka Taifa tajiri ktk middle ages na kugeula kuwa Taifa masikini kutupwa. Sasa hivi Wa hina wameamka upya.

5. Siku ya September 11, Wayahudi wanaofanya kazi katika Twin Towers waliambiwa wasiende kazini siku hiyo. Jiulize why?

6. Wanaoshabikia hawa Wayahudi wa kileo Zionism hawajui kuwa wanashabikia Beast, Lile limnyama ambalo ni ongo, linajiportray kama Takatifu lakini limebeba ajenda ya Ibilisi. Na linadanganya wengi kwelikweli
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Acha kujitoa ufahamu, mbona Hamas walivyovamia Israel na kuua watu 1400 na kuteka Zaidi ya 200 uliona sawa na hukutaka Tanzania ivunje uhusiano na Palestine. Sasa unataka tuingie kwenye mgogoro ambao hautuhusu.
 
Wenye akili hujiunga na Israel, wapumbavu hujitenga.
Wenye akili wenye za kupakuliwa kinyeo
IMG_20231107_022905.jpg
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Taratibu ostaz pata kwanza kikombe cha Gahawa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom