Nchi tisa za kiarabu zakutana na kuondoka zao bila kutoa tamko la maana kuhusu Gaza

Nchi tisa za kiarabu zakutana na kuondoka zao bila kutoa tamko la maana kuhusu Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara nyengine nchi za kiarabu ambazo zina udugu wa damu na kiimani na wapalestina wamekutana mjini Dubai na kutoa maneno yale yale ambayo wameshayasema mara nyingi.

Safari hii wamekutana katika wakati mgumu kuliko miaka yote tangu mzozo baina yao na Israel uanze. Katika hali hiyo wametoa matamko mepesi yasiyopelekea kutoa suluhisho lolote kwa ndugu zao hao wa kipalestina.

Mawaziri wa nchi za nje wa nchi za United Arab Emirates, Jordan, Bahrain, Saudi Arabia, Oman, Qatar, Kuwait, Egypt and Morocco wamekutana huko Dubai na kulaani uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel kwa raid wa Gaza kwa namna inavyowaporomoshea mabamu kutoka angani na kuwauwa.

Pamoja na tamko hilo walitoa tamko jengine linalofanana na lile alitotoa katibu mkuu wa UN,Antonio Guteres kuwa shambulio la Hamas halihalalishi kuvunjwa kwa haki za wapalestina.

Arab countries condemn 'flagrant violations' in targeting civilians in Gaza

 
20231011_121906.jpg
 
Kwa mara nyengine nchi za kiarabu ambazo zina udugu wa damu na kiimani na wapalestina wamekutana mjini Dubai na kutoa maneno yale yale ambayo wameshayasema mara nyingi .
Safari hii wamekutana katika wakati mgumu kuliko miaka yote tangu mzozo baina yao na Israel uanze.Katika hali hiyo wametoa matamko mepesi yasiyopelekea kutoa suluhisho lolote kwa ndugu zao hao wa kipalestina.
Mawaziri wa nchi za nje wa nchi za United Arab Emirates, Jordan, Bahrain, Saudi Arabia, Oman, Qatar, Kuwait, Egypt and Morocco wamekutana huko Dubai na kulaani uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel kwa raid wa Gaza kwa namna inavyowaporomoshea mabamu kutoka angani na kuwauwa.
Pamoja na tamko hilo walitoa tamko jengine linalofanana na lile alitotoa katibu mkuu wa UN,Antonio Guteres kuwa shambulio la Hamas halihalalishi kuvunjwa kwa haki za wapalestina.

Arab countries condemn 'flagrant violations' in targeting civilians in Gaza


Utakuta mkutano umeandaliwa na kudhaminiwa na USA&NATO[emoji3]
 
Kwa mara nyengine nchi za kiarabu ambazo zina udugu wa damu na kiimani na wapalestina wamekutana mjini Dubai na kutoa maneno yale yale ambayo wameshayasema mara nyingi.

Safari hii wamekutana katika wakati mgumu kuliko miaka yote tangu mzozo baina yao na Israel uanze. Katika hali hiyo wametoa matamko mepesi yasiyopelekea kutoa suluhisho lolote kwa ndugu zao hao wa kipalestina.

Mawaziri wa nchi za nje wa nchi za United Arab Emirates, Jordan, Bahrain, Saudi Arabia, Oman, Qatar, Kuwait, Egypt and Morocco wamekutana huko Dubai na kulaani uvunjaji wa haki za binadamu unaofanywa na Israel kwa raid wa Gaza kwa namna inavyowaporomoshea mabamu kutoka angani na kuwauwa.

Pamoja na tamko hilo walitoa tamko jengine linalofanana na lile alitotoa katibu mkuu wa UN,Antonio Guteres kuwa shambulio la Hamas halihalalishi kuvunjwa kwa haki za wapalestina.

Arab countries condemn 'flagrant violations' in targeting civilians in Gaza

wapalestina ni magaidi pia huez hifadhi magaaidi halafu tukuite raia mwema
 
Wapalestina wanawalea magaidi sasa subiri shughuli waipate. Huyu wa UN atajiuzulu siku sio nyingi
 
Hata Mimi ningetoka na maamuzi mepesi mepesi hivyo hivyo,nyuma ya panzia tunajionea wenyewe Israel inavyopigika.
 
Angalia vile wakristo wa huku wengi wao wanaishobokea na kuisapoti israel, mtihani sana hawa watu
 
Back
Top Bottom