Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

Huwa sielewi kuhusu Pakistan,ina kitu gani special mpaka wamiliki hiyo mikitu
 
Huwa sielewi kuhusu Pakistan,ina kitu gani special mpaka wamiliki hiyo mikitu
Haha Pakistan wanao wanasayansi.
Wamewekeza kwenye sayansi&technology kitambo sana kabla ya Tanzania haijapata Uhuru ...wana professors hatari sana wa nuclear nk


Pakistan wanamiliki silaha za nuclear kati ya 100-120 ,pia Pakistan wana High enriched uranium ambayo ina uwezo wa kutengeneza warheads 10-15 kwa mwaka na bado wana stockpile pia wana stockpile ya 190kg ya weapons grade plutonium yenye uwezo wa kutengeneza 12 -24 kwa mwaka ,na wana fissile material"material inayotumika kuvunja atom" yenye uwezo wa kuhimili zaidi ya silaha 200


Historia

Pakistan walianza kutengeneza silaha za nuclear sababu kubwa ni ugomvi wao na India ,wamekuwa na mgogoro kwa muda mrefu sabb kubwa ni majimbo ya Kashmir na Jammu wanayagombania ..

Pakistan walianza program ya kutengeneza silaha za nuclear 1950 na mwaka 1956 waliunda (PAEC) Pakistan Atomic Energy commission ,rais wa wakati huo Z.A Bhutto alisema

"Endapo India wakitengeneza Bomb ,Tutakula nyasi tutakaa njaa lakini lazima na sisi tutengeneze zetu.

Mwaka 1971 rais huyo aliamuru silaha za nuclear zitengenezwe ndani ya miaka 3 na tayari PAEC walikuwa wanafanya kazi yao kudevelop silaha


Munir Ahmad Khan kiongozi wa PAEC ndiye alikuwa anaingoza task force yake kudevelop plutonium kwenda kwenye nucleur weapon na power plant ilikuwa Karachi


Khan alisaidia sana mpaka nchi yake ilitengeneza nucleur ,na huyu khan na timu yake walifanikisha kutengeneza silaha za nuclear mwaka 1984

Huyu khan baadae alitaka ahamishe teknolojia yake awasaidie iran, North Korea

11 na 13 may 1998 India walifanya majaribio 5 ya nucleur .Pakistan wakalipiza kwa kufanya majaribio 6 tarehe 28 may na 30 may 1998...

Pakistan bado wana uwezo wa kutengeneza kwa mwaka silaha kibao za kinucleur lakini saizi wanazuiliwa na mkataba wa NPT na CTBT


Siyo hivyo tu Pakistan wame launch satellite angani.

BADR -1990 (low earth satellite )

PAKSAT -2011(geo stationary ,telecommunications satellite)

Icube-2013 (Earth imaging cubesat)


Pakistan wapo vizuri wamewekeza kwenye science&technology kitambo sana ,India ndio wameifanya Pakistan wawe active kwenye masuala ya teknolojia

Ulidhania Pakistan legelege
 
Haha Pakistan wanao wanasayansi.
Wamewekeza kwenye sayansi&technology kitambo sana kabla ya Tanzania haijapata Uhuru ...wana professors hatari sana wa nuclear nk


Pakistan wanamiliki silaha za nuclear kati ya 100-120 ,pia Pakistan wana High enriched uranium ambayo ina uwezo wa kutengeneza warheads 10-15 kwa mwaka na bado wana stockpile pia wana stockpile ya 190kg ya weapons grade plutonium yenye uwezo wa kutengeneza 12 -24 kwa mwaka ,na wana fissile material"material inayotumika kuvunja atom" yenye uwezo wa kuhimili zaidi ya silaha 200


Historia

Pakistan walianza kutengeneza silaha za nuclear sababu kubwa ni ugomvi wao na India ,wamekuwa na mgogoro kwa muda mrefu sabb kubwa ni majimbo ya Kashmir na Jammu wanayagombania ..

Pakistan walianza program ya kutengeneza silaha za nuclear 1950 na mwaka 1956 waliunda (PAEC) Pakistan Atomic Energy commission ,rais wa wakati huo Z.A Bhutto alisema

"Endapo India wakitengeneza Bomb ,Tutakula nyasi tutakaa njaa lakini lazima na sisi tutengeneze zetu.

Mwaka 1971 rais huyo aliamuru silaha za nuclear zitengenezwe ndani ya miaka 3 na tayari PAEC walikuwa wanafanya kazi yao kudevelop silaha


Munir Ahmad Khan kiongozi wa PAEC ndiye alikuwa anaingoza task force yake kudevelop plutonium kwenda kwenye nucleur weapon na power plant ilikuwa Karachi


Khan alisaidia sana mpaka nchi yake ilitengeneza nucleur ,na huyu khan na timu yake walifanikisha kutengeneza silaha za nuclear mwaka 1984

Huyu khan baadae alitaka ahamishe teknolojia yake awasaidie iran, North Korea

11 na 13 may 1998 India walifanya majaribio 5 ya nucleur .Pakistan wakalipiza kwa kufanya majaribio 6 tarehe 28 may na 30 may 1998...

Pakistan bado wana uwezo wa kutengeneza kwa mwaka silaha kibao za kinucleur lakini saizi wanazuiliwa na mkataba wa NPT na CTBT


Siyo hivyo tu Pakistan wame launch satellite angani.

BADR -1990 (low earth satellite )

PAKSAT -2011(geo stationary ,telecommunications satellite)

Icube-2013 (Earth imaging cubesat)


Pakistan wapo vizuri wamewekeza kwenye science&technology kitambo sana ,India ndio wameifanya Pakistan wawe active kwenye masuala ya teknolojia

Ulidhania Pakistan legelege
Ahsante Mkuu kwa kunifundisha mimi nikisikia kina Taleban wanazingua na mapigano yasioisha huwa najua nao ni moja ya vinchi masikini sana kumbe wapo ulimwengu wa kwanza...Shkamoo Pakistan
 
Wapo wanaosema Malawi ina mpango wa ku-develop nuclear weapons.Ridiculous!Poor Malawi does not have the resources to do that.The country is so poor that it does not even have the capacity to think of such a plan,let alone carrying it out.
NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]

Na Thabit Karim Muqbell

Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.

Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]

1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
6852392419133ce34af856563defeef4.jpg
 
Hii vita ya silaha ya aina hii ikitokea sijui nani atapona!
Dunia ya sasa si mahali Salama tena
 
NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]

Na Thabit Karim Muqbell

Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.

Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]

1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
6852392419133ce34af856563defeef4.jpg
sasa north Korea .mbona anavyo vi8 tu.marekani wanalialia sana.au zake za Masafa marefu
 
Weka link tusome usilete stories za gahawa
Siyo story ya gahawa na hicho kitu chenye matair kama jongoo ni cha Mrussi kinaitwa ICBM yaani Intercontinental Ballistic Missle Nuclear ambayo ni mobile inauwezo wa kupiga sehem yoyote dunian, google ICBM ucheki ni hatareeee
 
Ahsante Mkuu kwa kunifundisha mimi nikisikia kina Taleban wanazingua na mapigano yasioisha huwa najua nao ni moja ya vinchi masikini sana kumbe wapo ulimwengu wa kwanza...Shkamoo Pakistan
Taliban wanapatikana Afghanistan.

Afghanistan walivyokuwa wanatawaliwa na soviet union ,USA ndio akawatengeneza na kuwapa silaha,pesa ili wapigane dhidi ya soviet union wajitawale

Ndipo mullar Omar alipotengeneza Taliban huko Afghanistan

Afghanistan& Pakistan ni majirani

Pakistan amekuwa akiingia Afghanistan na kuwashambulia Taliban ili serikali iliyopo madarakani Iweze kujitawala sasa Taliban kwa hasira hujipenyeza Pakistan na kulipiza kama vile al shabaab wanavyowafanyia wa Kenya

Afghanistan ndio Taliban wapo

Pamoja
 
Back
Top Bottom