Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

Nchi tisa zinazomiliki silaha za nyuklia duniani pamoja na idadi

India ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia


Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo

Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.

Mistake alifanya Hitler
kwa hiyo india na pakistan ni mafundi kuliko ujeruman kitecnolojia?
 
Tatizo ni gharama ya kuitengeneza na kuihifadhi,,
Pia vikwazo vya kiuchumi tokea 1990 mpaka Leo wamewekewa ,na Nk hapokei msaada kwa nchi yeyote ile

Jeshi la mtu mmoja
 
NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]

Na Thabit Karim Muqbell

Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.

Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]

1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
6852392419133ce34af856563defeef4.jpg
List fake hii, mnyama Japan na Ujeruman hawamo halaf North korea yumo? [emoji45]
 
Ujerumani wanayo teknolojia na wapo juu wanatengeneza silaha mbali mbali ,ndege,magari,meli nk..wanayo nuclear plant lakini ni kwaajili ya umeme tu,uwezo wa kutengeneza silaha za nuclear wanayo lkn wanazuiwa na mkataba..kilichowafanya wasiwe na silaha za nuclear ni Hitler hakuwa na ushirikiano na wanasayansi ,na wanasayansi walimkimbia lakini India&Pakistan serikali ilikuwa inawajali wanasayansi wao

Mfano mwanasayansi wao Dr.Abdul kalam "Mr missile Man" ndio alifanikisha 1998 wajaribishe Mara 5 nucleur na serikali ilikuwa bega kwa bega na wanasayansi


Pakistan nao mara baada ya kuwaona majirani wao wanatengeneza silaha wakaona njia sahihi ya kujilinda ni kumiliki nuclear tu.

Rais wao alitoa ushirikiano ndio maana wanasayansi wao wakaweza kutengeneza nucleur

Kwa mtizamo wangu Ujerumani wapo juu sababu teknolojia siyo kutengeneza nucleur tu..ujerumani kuna viwanda vingi
kwa hiyo india na pakistan ni mafundi kuliko ujeruman kitecnolojia?
 
Sasa hizo silaha ndo zinaiweka dunia kuwa salama mbona kama garama yake ni kubwa sana kazi yake ni nini hasa?
 
NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]

Na Thabit Karim Muqbell

Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.

Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]

1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
6852392419133ce34af856563defeef4.jpg
umesema hesabu imeshuka kutoka 68,000 hadi 15,350 kwa mwaka 2016

ila
ukijumlisha
7500 Russia
7260 US
300 France
260 China
215 UK
120 Pakistan
100 India
80 Israel
8 North korea
15843 Jumla

hiyo hesabu imekaaje?
"Mkuu angalia vizuri hapo"
 
Tanzania tunamiliki Tanzanite, wache wawe na nyuklia nchi mbalimbali Tz wana tanzanite peke yaoo
 
Eti marekani inamtegemea israel..... angalia gape la nyuklia ilo aaaah aaaah aaah
USA kila mwaka anampa $3.5 Billion Israel kwaajili ya kijeshi na pia anampa zaidi ya $Billion 5 kwaajili ya kiuchumi na juzi kampa f-35 Israel

Sasa kivipi USA amtegemee Israel ..wanaosema hivyo hawaelewi dunia inavyokwenda
 
USA kila mwaka anampa $3.5 Billion Israel kwaajili ya kijeshi na pia anampa zaidi ya $Billion 5 kwaajili ya kiuchumi na juzi kampa f-35 Israel

Sasa kivipi USA amtegemee Israel ..wanaosema hivyo hawaelewi dunia inavyokwenda
Wapumbavu.... wana story za miaka iyo... oooh lile taifa teule... mara wana akili saana... mara cjui wataalamu wooote wa technology wanatoka israel.....

Uchafu mtupu
 
Ahsante Mkuu kwa kunifundisha mimi nikisikia kina Taleban wanazingua na mapigano yasioisha huwa najua nao ni moja ya vinchi masikini sana kumbe wapo ulimwengu wa kwanza...Shkamoo Pakistan

Kiongozi usichanganye kati ya Pakistan na Afghanistan. Ni nchi mbili tofauti
 
Back
Top Bottom