Namala Namala
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 227
- 127
yan hao wakiwa nazo huu ulimwengu utakuwa chini yao maana ni hatari sana kwa vita nchi hz c unakumbuka WW2 ujeruman akiitandika ulaya kisawasawa huku japan akiishughulikia asia yote vilivoDuhh German na kuwa super economy ulaya hana? Japan pia hana? Au hii list sio yote?
Tatizo ni gharama ya kuitengeneza na kuihifadhi,,North Korea na mbwembwe zake wanamiliki silaha 8 za Nyukilia ? Source ya habari ni nini ? Halafu siri za majeshi yao si wanaficha ?
kwa hiyo india na pakistan ni mafundi kuliko ujeruman kitecnolojia?India ni nchi yenye wanasayansi wengi ase usiwadharau wamewekeza kwenye sayansi na Teknilojia
Siyo tu Nucleur pia wana satellite na bado wanaunda satellite yao yenye uwezo mkubwa waweke angani..pongezi kwa aliyekuwa Rais na mwanasayansi wao Abdul Kalam ndiye aliyeifanya India iwe na Nucleur ..pia India hawakuwekewa vikwazo sabb ya mhasimu wake Pakistan anazo Nucleur sasa kila mmoja akiwa nazo heshima itakuwepo
Germany walikuwa wanadevelop Atomic bomb ,tatizo ni pale Hitler alipochukua uongozi akawa analeta Sera zake za kijinga ,wanasayansi wengi walikimbia na kwenda USA na uingereza ..Einstein na wenzake ndio waliofundua fission ktk tafiti zao za kutengeneza atomic lkn mwishoni USA ndio alifaidi sabb ya uchizi wa Hitler ,baada ya vita ya pili Germany walizuiliwa kutengeneza ..lkn Ujerumani saizi wanao uwezo wa kutengeneza lkn wamekubali kutotengeneza
.
Mistake alifanya Hitler
Pia vikwazo vya kiuchumi tokea 1990 mpaka Leo wamewekewa ,na Nk hapokei msaada kwa nchi yeyote ileTatizo ni gharama ya kuitengeneza na kuihifadhi,,
Tulijibu mashambulizi kwa idi amin hatukutumia nyuklia ww,kwenye vita si nyiklia pekee inayotumikambona 'sisi' hatumo ina maana ikitokea vita hatuna uwezo wa kujibu mashambulizi.. hii ni hatari sana basi tuwe nako hata kamoja
Mkuu si tuna wale makomandoo wanaopasua mafali kwa kichwa?? Au huwakumbuki??mbona 'sisi' hatumo ina maana ikitokea vita hatuna uwezo wa kujibu mashambulizi.. hii ni hatari sana basi tuwe nako hata kamoja
Mpaka sasa wanafunzi wanasomea chini unawaza upuuzi kamaal huu??Please Anko magu ukimaliza kukunua ndege tu nataka angalau moja
List fake hii, mnyama Japan na Ujeruman hawamo halaf North korea yumo? [emoji45]NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]
Na Thabit Karim Muqbell
Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.
Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]
1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
Ndio nashangaa, na Japan na Ujerumani hawana hata moja [emoji15]Iran hana hata 1!
kwa hiyo india na pakistan ni mafundi kuliko ujeruman kitecnolojia?
umesema hesabu imeshuka kutoka 68,000 hadi 15,350 kwa mwaka 2016NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]
Na Thabit Karim Muqbell
Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.
Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]
1. Russia (7500)
2. Unites States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
USA kila mwaka anampa $3.5 Billion Israel kwaajili ya kijeshi na pia anampa zaidi ya $Billion 5 kwaajili ya kiuchumi na juzi kampa f-35 IsraelEti marekani inamtegemea israel..... angalia gape la nyuklia ilo aaaah aaaah aaah
Wapumbavu.... wana story za miaka iyo... oooh lile taifa teule... mara wana akili saana... mara cjui wataalamu wooote wa technology wanatoka israel.....USA kila mwaka anampa $3.5 Billion Israel kwaajili ya kijeshi na pia anampa zaidi ya $Billion 5 kwaajili ya kiuchumi na juzi kampa f-35 Israel
Sasa kivipi USA amtegemee Israel ..wanaosema hivyo hawaelewi dunia inavyokwenda
Ahsante Mkuu kwa kunifundisha mimi nikisikia kina Taleban wanazingua na mapigano yasioisha huwa najua nao ni moja ya vinchi masikini sana kumbe wapo ulimwengu wa kwanza...Shkamoo Pakistan