Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
- Thread starter
-
- #101
Watu km hao ni kuwatizama tu kaka. Tuna safari ndefu sana. Watz hatuaminiani. Kila kitu unachoondaka watu wanafikiri unapotosha. So sadSiyo story ya gahawa na hicho kitu chenye matair kama jongoo ni cha Mrussi kinaitwa ICBM yaani Intercontinental Ballistic Missle Nuclear ambayo ni mobile inauwezo wa kupiga sehem yoyote dunian, google ICBM ucheki ni hatareeee
Hakuna. Ingekuwepo ungeiona kwny hilyo listiKuna nchi hata 1 ya kiafrica inayomilik hizi silaha? Na kwa nini
Msibishe bila hoja. Km unajua Japan na Ujerumani wanazo lete ushahidi na si kubisha pekeeNdio nashangaa, na Japan na Ujerumani hawana hata moja [emoji15]
Sio kweli. Hao uliowataja pengine wana vinu vya nyuklia kwa ajili ya kufua umeme na kwa matibabu au tafiti mbalimbali lkn si kwa silaha za nyukliaJapan, Germany, Italy, South Korea, Argentina, Brazil, Mexico, Canada, Australia, New Zealand, Turkey, Spain, Belgium, Norway, Sweden hawa wote wanazo za kutosha kiasi ila wamenyamaza kimya. Wote wana Nucleu Plant na Nucleua fussion factory.
Hizo ni nyingi sana! Tatu tu zinatosha kumfanya Marekani awe mpole!North Korea na mbwembwe zake wanamiliki silaha 8 za Nyukilia ? Source ya habari ni nini ? Halafu siri za majeshi yao si wanaficha ?
Hana mpaka sasa japo amesharutubisha uranium ya kutosha kutengeneza mabomu kama akiamua. Yeye mwenyewe anadai ni kwa ajili ya kuzalisha umeme unaotokana na nguvu za nyuklia!Nimeshangaa, na Mimi.huwenda taarifa siyo sahihi
Ujerumani na Japan walizuiwa chini ya mkataba wa amani baada ya vita kuu ya pili. Ni mataifa mawili yaliyokuwa makorofi sana lakini walishindwa na kusalimu amri!Duhh German na kuwa super economy ulaya hana? Japan pia hana? Au hii list sio yote?
Kwani mange ana kosa gani? Nani alithibitisha anatafutwa?Hakuna kitu , mange kimambi wamemshindwa kumkamata
Hizi 8 zao inawezekana zinatisha sana kuliko hizo 7,000 zao, that's why akitest moja wengine wote wanapata hofu.North Korea na mbwembwe zake wanamiliki silaha 8 za Nyukilia ? Source ya habari ni nini ? Halafu siri za majeshi yao si wanaficha ?
Mkuu siamini kama Israel inaweza kuzidiwa na pakistan.NCHI TISA ZINAZOMILIKI SILAHA ZA NYUKLIA DUNIANI PAMOJA NA IDADI [emoji123] [emoji123]
Na Thabit Karim Muqbell
Kufikia mwaka 1986 idadi ya silaha za Nyuklia zilifikia 70,300. USA na USSR pekee walikua wakimiliki zaidi ya silaha 68,000. idadi hii imepungua na kufikia 15,350 kwa mwaka 2016 huku zaidi ya 14,000 zikimilikiwa na Russia na USA.
Kupungua huko kumetokana na mikataba kadhaa ya kutokomeza silaha za Nyuklia km SALT 1 na SALT 2 pamoja na kuisha kwa Vita baridi miaka ya 1990. Kwa sasa Russia ndio anayeongoza huku North Korea ikiwa n nchi ya mwisho. Listi iko hivi [emoji116][emoji116]
1. Russia (7500)
2. United States (7260)
3. France (300)
4. China (260)
5. United Kingdom (215)
6. Pakistan (120)
7. India (100)
8. Israel (80)
9. North Korea (8)
Mkuu shetani hakugundua siraha za nyukilia...muasisi mambo hayo ni Sir Isac Newton akifuatiwa na Sir Elbert InsteinShetani na wafuasi wake watu wa Mungu wanagundua Upendo, Amani, Utu wema Fadhili na mengine yanafananayo na hayo.
sio kwamba zinazuiwa na mikataba ya amani, na hakuna wa kuwazuia kutengeneza hizo silaha sema tu wao wameamua kuacha kutengeneza ili kuondoa taswira waliyokuwa nayo kuwa wenyewe ni watu wa vita tu maana ww1/ww2 walianzisha wao yaan kifupi hawa wakipigana vita wanapigana na dunia nzimaUjerumani na Japan walizuiwa chini ya mkataba wa amani baada ya vita kuu ya pili. Ni mataifa mawili yaliyokuwa makorofi sana lakini walishindwa na kusalimu amri!