Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Sasa mkuu kikwete ni visionary leader?basi apewe mwanae rizone manake atakuwa karithi uvisionary leadership kwa baba yakeMkisema hivo Mnawakosea sana heshima watu kama Magufuli, Lowassa, Kikwete na Mwinyi
Labda ndo mwisho wa kufikiri kwako,Nilisense akili fln kwenye maandiko yako ila kwa hii comment nimejutia nikajua sikuwa sahihi.
Kama uko tayari kuongozwa na mbuzi, kati ya mimi na wewe nani ni mbuzi?Kwahiyo wanaotupiga mnada ndio visionary leaders? We Mbuzi kweli si bora tuongozwe na Mbuzi za zizini kuliko hizi takataka unazoziita visionary leader. Kenge mweusi wewe
Punguza mihemko jikite kwenye HOJA,Kama uko tayari kuongozwa na mbuzi, kati ya mimi na wewe nani ni kenge?
Hayo ni maoni yako na si maoni ya watanzania na usitake kutulazimisha kutawaliwa kibabe, kwa wizi wa kura na chama kilichojaa mafisadi CCM.Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
The forthcoming Tanzanian leader is invincible until the time is due and it is premature to be exposed now.Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
Ccm vision yao ni kuuza rasilimali- Ngongoro, madini, gesi, misitu, bandari nk.Je visionary leader unayeweza kututajia hapa ndani ya CCM ni nani?
CCM kumejaa wezi, machawa na wauza nchi, hamfai kuongoza. Miaka zaidi ya 60 mmeshindwa kusambaza huduma za maji nchi nzima. Kwenye afya ni majanga, kwenye elimu ndio usisemeSina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
Kwa mbaali mchungaji msigwa ni visionary leaderSina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
HakikaKikubwa kuwe na Katiba mpya yenye tume huru ndio tutawajua vizuri hao unaowaita visionary leaders
Kawe ikoje sasa miaka mitatu ya ubunge wake??Askofu Gwajima ni visionary leader.
Amen
visionery leader inapimwa na makuwadi ya warabu dpworld.Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.
Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.
Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?
Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.
Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.
Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu
Zitto? No integrity
Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
makuwadi ya warabu koko dpworld mwambien mamayenu kuwa pesa alizohongwa na warabu azirudishe kwa hiari yake vinginevyo zitamtokea kwenye kola tundu la mwili wake.Huyu Tundu Lissu "aliyelobby" wabunge marafiki wa CDU wapeleke "motion" bundestag ili Ujerumani waiupinge mradi wa ujenzi wa bwawa la ufuaji umeme mwalimu Nyerere wenye kutuletea megawati 2115 ana maana huyu?! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]