Nchi tutampa visionary leader sio mwanaharakati. Ukweli mchungu ni kwamba bado upinzani hawana Visionary leader

Nchi tutampa visionary leader sio mwanaharakati. Ukweli mchungu ni kwamba bado upinzani hawana Visionary leader

Kwahiyo wanaotupiga mnada ndio visionary leaders? We Mbuzi kweli si bora tuongozwe na Mbuzi za zizini kuliko hizi takataka unazoziita visionary leader. Kenge mweusi wewe
Kama uko tayari kuongozwa na mbuzi, kati ya mimi na wewe nani ni mbuzi?
 
🤣🤣Sasa mkuu kikwete ni visionary leader?basi apewe mwanae rizone manake atakuwa karithi uvisionary leadership kwa baba yake
Tumia akili basi, hebu rudia kusoma ulichoandika kama kina logic. Yaan uvisionary unarithishwa?
 
JJ Mnyika, Msigwa, Heche pia ni visionary leaders.

Bt kabla ya kuwaangalia viongozi wenye Dira,

Tuanze na kutengeneza KATIBA mpya yenye Dira ya many years to come.
 
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.

Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.

Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?

Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.

Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.

Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu

Zitto? No integrity

Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
Hayo ni maoni yako na si maoni ya watanzania na usitake kutulazimisha kutawaliwa kibabe, kwa wizi wa kura na chama kilichojaa mafisadi CCM.
Tanzania ni Mali ya watanzania na si Mali ya CCM.
 
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.

Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.

Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?

Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.

Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.

Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu

Zitto? No integrity

Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
The forthcoming Tanzanian leader is invincible until the time is due and it is premature to be exposed now.
Mark my words to unlock the concealed and intriguing puzzle.
 
Uongozi haupimwimwi kwa matamanio ya mtu. Uongozi unapimwa uwezo wa mtu.

Hivyo wanaharakati asili yao ni kutamani madaraka, hii ndio sababu mwanahalakati hafai kua kiongozi. Ndiomaana wnaharakati wanaojitambua hawakimbilii kutaka kuchaguliwa ila wanapambania haki wakimaliza wanawaachia viongozi wanaoamini wanaweza kuwavusha salama, na akihic kakengeuka anarudi tena uwanjani kupambana nae. Wanaharakati wengi mwisho wao unakuaga mbaya hasa kwa kugeukwa na watu wanao waamini.

Shida ya hapa kwetu kuna wanaharakatu njaa...akipewa kaugali anaingia uwanjani kupinga chochote anachokiona mbele yake.huyohuyo anataka awe Rais. Na shida tu.
 
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.

Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.

Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?

Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.

Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.

Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu

Zitto? No integrity

Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
CCM kumejaa wezi, machawa na wauza nchi, hamfai kuongoza. Miaka zaidi ya 60 mmeshindwa kusambaza huduma za maji nchi nzima. Kwenye afya ni majanga, kwenye elimu ndio usiseme
 
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.

Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.

Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?

Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.

Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.

Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu

Zitto? No integrity

Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
Kwa mbaali mchungaji msigwa ni visionary leader
 
Sina la kuandika zaidi sababu title imejielezea.

Sijaona visionary leader yyt kutoka upinzani hadi sasa, endeleeni tu kutimiza wajibu wenu wa kuikosoa serikali na kuchangamsha mitandao ya kijamii lakini kule juu sidhan kama mtafika, labda miaka 100 ijayo.

Tuongee ukweli ndugu zangu, nani visionary huko upinzani?

Mbowe? Sitaki kucomment sabab mnajua, yy mwenyewe anajua ndo maana huwa hagombei.

Lissu? Huyu hana quality yoyote ya kiongozi ila anajua harakati tu, kakosa Integrity hata kwenye maneno yake. Mara alisema magu kampiga risasi leo anamtetea tena. A leader should not necessarily be good or bad, but HE SHOULD BE UPRIGHT.

Slaa? Hayuko upright hana integrity kama Lissu tu

Zitto? No integrity

Mtataja wengine lakini upinzani bado sana kuwa na kiongozi mwenye guts za kuongoza nchi
visionery leader inapimwa na makuwadi ya warabu dpworld.
 
Huyu Tundu Lissu "aliyelobby" wabunge marafiki wa CDU wapeleke "motion" bundestag ili Ujerumani waiupinge mradi wa ujenzi wa bwawa la ufuaji umeme mwalimu Nyerere wenye kutuletea megawati 2115 ana maana huyu?! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
makuwadi ya warabu koko dpworld mwambien mamayenu kuwa pesa alizohongwa na warabu azirudishe kwa hiari yake vinginevyo zitamtokea kwenye kola tundu la mwili wake.
 
Back
Top Bottom