Nchi tutampa visionary leader sio mwanaharakati. Ukweli mchungu ni kwamba bado upinzani hawana Visionary leader

Makuwadi ya warabu tunawambia hao warabu koko wakija tutawachoma moto hapo bandarin hatuwez kuona wezi wakichukua mali za tanganyika na nyie makuwadi yao jiandaen kwenda kwa mabwana zenu.
 
Uko sahihi

Lakini unategemea kiongozi ambae hata hana msimamo kwenye maneno yake anayosema hadharani atakua na credibility ya kuhakikisha anafuata hio vision iliopo tayari kwenye katiba.

Narudi palepale, INTEGRITY, Upinzani hawana hio
integrity iko kwa wauza bandar kwa warabu koko.
 
Je hizo ndizo sababu za kuwaibia na kuvuruga chaguzi wanazoshiriki wapinzani na hasa Cdm ?!.

Kama unadhani ccm ni imara kiasi cha kuwashinda. Basi tume iwe huru. Isiyowajibika kwa mtu, bali kwa nchi na wananchi . Halafu uje utambe.
 
kwamb visionary leader huwa hakubali alipokosea awali?
 
NI KWELI KABISA.
ACTUALLY HATA CHAMA TAWALA BAADA YA MAMA KUMALIZA NGWE ZAKE, HAWANA ISPOKUA GEN. VENANCY SALVATORY MABEYO.
 
Hua mnawapaje Nchi! Kaufafanuzi tafadhali!!
 
Hivi bi TOZO nae ni visionary leader?
 
Kwa CCM ipi ? Ambayo inampenda visionary leader,anapokuja visionary leader mnamjengea majungu Hadi afe kabisa,visionary leader hawezi kutoka CCM na Wala hawana nafasi CCM,wenye nafasi CCM ni wa akili za madodoki ndiyo wanapendwa CCM na kuimbwa kila siku
 
Upinzani hawapo nakubali haya sema wako wapi na wamelifanyia Nini taifa, unataka kusema hili taifa lote hatuwezi kupata kiongozi Bora?
 
Visionary CCM hakuna ,Bali kumejaa viongozi wenye vision ya chini Sana,wasikilize hata hotuba zao tu ni chini, chini, chini,chiniiiiiiiiiiiiiiii hawatamaniki
 
Mwanaharakati yeyote liberal wa raia, mazingira, elimu n.k lazima ni visionary leader. Huwezi kuwa mwanaharakati bora kama sio kiongozi.
 
Aheri mzee lipumba. Sema cuf hawaaminiki maana mwanzo walianza na udini.
 
definitely a HE boyo. Siasa safi na uongozi bora ndani ya katiba ya WANANCHI. Ndani ya siasa safi zipo SERA toshelezi. Anaeweza hayo ni KIONGOZI bora. Sio personalities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…