Nchi ya ahadi

Nchi ya ahadi

Joined
Mar 24, 2020
Posts
44
Reaction score
89
Habari zenu wana JF. Ingawa mimi ni Mtanzania ila ni mpenzi haswa wa vitimbi vya kisiasa vinavyoendelea nchini Kenya nilianza kuwa mfuatiliaji soon after Handshake ya Uhuru na Odinga.

Ingawa sikuwa mfuatiliaji kwa kitambo nimeanza kufuatilia baada ya kuanza kwa BBI. Lengo hasa la hii thread ni kujuzwa kuhusiana na tafsiri ya matukio yanayotokea Kenya kama hii ya "Nchi ya ahadi", tangatanga v kieleweke, reggae.

Karibuni sana.
 
Utaumiza kichwa chako ukiamua kufuatilia siasa za Kenya kwa undani, wewe fuatilia kama unavyofiatilia vichekesho vya Mr.Ben. wakenya hawajui wanakokwenda wala wanakotoka, nchi ya hovyo sana hiyo.
 
Here is an introduction. In politics everything can change, the only constant thing is betrayal. There are no permanent friends or enemies just playing the game.
 
Utaumiza kichwa chako ukiamua kufuatilia siasa za Kenya kwa undani, wewe fuatilia kama unavyofiatilia vichekesho vya Mr.Ben. wakenya hawajui wanakokwenda wala wanakotoka, nchi ya hovyo sana hiyo.
Do not hate because you beat your opposition into oblivion through violence. Our political sphere is very dynamic and entertaining books have been written about it.
I know you can not understand politics if you live in a one party state.
 
Do not hate because you beat your opposition into oblivion through violence. Our political sphere is very dynamic and entertaining books have been written about it.
I know you can not understand politics if you live in a one party state.
China.....One Party
USA.......Two Parties
Germany.....One Party
Russia.......One Party
South Africa....One Party
UK.........Two Parties
Kenya....... No Party just tribalism.
 
China.....One Party
USA.......Two Parties
Germany.....One Party
Russia.......One Party
South Africa....One Party
UK.........Two Parties
Kenya....... No Party just tribalism.
Tanzanian Ignorance on display. I always tell you to read before spewing ignorance.

USA ........... Multiple parties ie Republicans, Democrats, Greens including independent candidates etc.

Germany......... Multiple parties ie CSD (Christian social democrats), CSU (Christian social union), Afd (Alternative fur deutschland), Green party, socialist party etc.

South africa .............. multiple parties ie African National Congress ,Democratic Alliance ,Economic Freedom Fighters ,Inkatha Freedom Party ,Freedom Front Plus ,African Christian Democratic Party ,United Democratic Movement ,Congress of the People etc.

UK............ Multiple parties ie. Conservative and Unionist Party , Labour Party , Scottish National Party , UKIP, BNP, Democratic Unionist Party , Green Party of England and Wales etc.

Kenya........ Multiple partie ie Jubilee, ODM, Wiper, ANC (Amani National Congress), KANU, Maendeleo Chap Chap, Independent politicans etc.

Tanzania is the north korea of east africa. Your politics is not entertaining and it is filled with ignorance and illiteracy like most of your comments.
 
Tanzanian Ignorance on display. I always tell you to read before spewing ignorance.

USA ........... Multiple parties ie Republicans, Democrats, Greens including independent candidates etc.

Germany......... Multiple parties ie CSD (Christian social democrats), CSU (Christian social union), Afd (Alternative fur deutschland), Green party, socialist party etc.

South africa .............. multiple parties ie African National Congress ,Democratic Alliance ,Economic Freedom Fighters ,Inkatha Freedom Party ,Freedom Front Plus ,African Christian Democratic Party ,United Democratic Movement ,Congress of the People etc.

UK............ Multiple parties ie. Conservative and Unionist Party , Labour Party , Scottish National Party , UKIP, BNP, Democratic Unionist Party , Green Party of England and Wales etc.

Kenya........ Multiple partie ie Jubilee, ODM, Wiper, ANC (Amani National Congress), KANU, Maendeleo Chap Chap, Independent politicans etc.

Tanzania is the north korea of east africa. Your politics is not entertaining and it is filled with ignorance and illiteracy like most of your comments.
Hahahaha,
Tanzania, CHADEMA, ACT- Wazalendo. CUF, NCCR-Mageuzi, CCM, TLP, but because you are stupid, you don't see all these.

In Kenya you don't have any strong political Party, what you have is tribal politics which dominant your country. Every year you come up with new political parties with no ideology except tribalism.
 
Hahahaha,
Tanzania, CHADEMA, ACT- Wazalendo. CUF, NCCR-Mageuzi, CCM, TLP, but because you are stupid, you don't see all these.

In Kenya you don't have any strong political Party, what you have is tribal politics which dominant your country. Every year you come up with new political parties with no ideology except tribalism.
HAHAHAHAHA, says the person who lives in a defacto one pary dictatorship full of incompetent leaders.
 
Hahahaha,
Tanzania, CHADEMA, ACT- Wazalendo. CUF, NCCR-Mageuzi, CCM, TLP, but because you are stupid, you don't see all these.

In Kenya you don't have any strong political Party, what you have is tribal politics which dominant your country. Every year you come up with new political parties with no ideology except tribalism.
Political parties by name but are toothless. Your political landscape is in the ICU.
 
Hahahaha,
Tanzania, CHADEMA, ACT- Wazalendo. CUF, NCCR-Mageuzi, CCM, TLP, but because you are stupid, you don't see all these.

In Kenya you don't have any strong political Party, what you have is tribal politics which dominant your country. Every year you come up with new political parties with no ideology except tribalism.
HAHAHAHA, says the person who thought Germany is a one party country. Your stupidity is indeed infinite.
 
Kenya there is no siasa..there is strong tribalism
 
Utaumiza kichwa chako ukiamua kufuatilia siasa za Kenya kwa undani, wewe fuatilia kama unavyofiatilia vichekesho vya Mr.Ben. wakenya hawajui wanakokwenda wala wanakotoka, nchi ya hovyo sana hiyo.
Siasa yetu nakubaliana nawe haina mwelekeo na ina mambo za kitoto sana ipa uchumi wetu ni imara kama simba.
 
Siasa yetu nakubaliana nawe haina mwelekeo na ina mambo za kitoto sana ipa uchumi wetu ni imara kama simba.
Uchumi wa wanasiasa na mabwenyenye wachache, huwezi kukosa siasa nzuri na ukawa na uchumi imara, ndio sababu gharama za maisha zinazidi kupanda, ajira hakuna, rushwa inaongezeka, crime na tribalism vinashamiri, deni la Taifa halibebeki, huo uchumi imara ni upi kama hauwezi tengeneza ajira na kupunguza gharama za maisha?
 
China.....One Party
USA.......Two Parties
Germany.....One Party
Russia.......One Party
South Africa....One Party
UK.........Two Parties
Kenya....... No Party just tribalism.
Germany one party? serious? hamna chama Ujerumani kimewahi kupata outright majority!
 
Back
Top Bottom