Nchi ya Kenya haiwezi kuja kuendelea!

ownership of the company was split between Kenya (67.7%), Uganda (22.6%), Tanganyika (9%) and Zanzibar (0.7%).
 
ju kenya walichangia pesa nyingi zaidi


Kenya ipi iliyochangia pesa nyingi zaidi wakati East African Airways ilianzishwa mwaka 1946 na Wazungu? Sema Mzungu alichangia pesa nyingi zaidi lkn siyo Wakenya!
 


Vituko mpumbavu kutaka kumjua mpumbavu!!
 
Kweli, hawa viongozi wetu waliochaguliwa ndio vikwazo vikuu kwa maendeleo mashinani. Wasipojirekebisha....well.
Hao hawawezi kujirekebisha unless warekebishwe.
But nani atawarekebisha? It is you Kenyans,
Kenya Must become Kenya for Kenyans...
Like tzn need to remove the roots of incompetent ccm in the administration system, only to be done at a right time (when we find a perfect replacement)
U Kenyans need to Ban your corrupt Noblemen and exile them from the system.
You have to eliminate any remaining raila & Uhuruto things permanently..
Hapo tutasonga.
 
  1. hapa ndipo maendeleo yamefika tz
  2. Ongoing works at the Kangundo road junction and railway crossing overpass. Thika road bound lanes are now almost complete with the last sections getting tarmac. The Taj Mall bound lanes are also moving fast.
    1. At the railway crossing, all eight lanes are raised.

      The photos below are arranged in order as you approach from Taj Mall side towards Thika road.


















      Below: The tarmacked section between Mutindwa and Kangundo road.


      __________________

      Report
      Like- 1 people like+ QuoteReply
    2. E
      Edward WanjalaJF-Expert Member
      [HASHTAG]#867[/HASHTAG]
      Today at 8:22 AM

      Joined: Nov 3, 2016
      Messages: 1,526

      Likes Received: 932

      Trophy Points: 280
      Looking at this road, i wonder what the final project will look like, are some sections having all the 12 lanes elevated??

 
Kwa nini Kenya 68% dhidi ya TZ 10%?
Baada ya Uhuru na kupewa umiliki wa EA airways, zile ndege tulizoachiwa zilikua zishazeeka, tena kampuni yenyewe ilikua na madeni, EAC ilibidi ianze kununua ndege mpya mpya na ianze kuwekeza pesa kwa ikarabati wa majengo, lakini tanzania ilishindwa kuchanga pesa za kununua ndege mpya mpya...Uganda pia ilitoa pesa kidogo kulipa madeni, Kenya ndo ilikua inalipia hizo pesa zote. kwahivyo kama nilivo sema pale mwanzo, EAA iligawanywa kibiashara kulingana na waliochangia, kwavile nyinyi hamkuchangia kulipa mishahara na madeni, mlipata mchango wenu baada ua kuongeza hesabu ya deni, kwavile hamkuweza kulipa deni na pesa, kenya ilikata kulingana na worth ya ndege zilizokua hapo 1977



----
the three countries that ran the airline. Financial difficulties deepened when both Tanzania and Uganda struggled to pay their outstanding debts for the operations of the airline, or directly missed them. EAA operations came to a total halt in January 1977.
The airline had incurred in a debt of
US$120,000,000 (equivalent to $474,266,886 in 2016) when it went into liquidation in February 1977, with the Kenyan government being one of the major creditors.Both Kenya and Uganand had established their own national airlines before the folding of the corporation:
Kenya Airways and Uganda Airlines were formed in 1977 and 1976, respectively. Tanzania followed in April 1977, forming Air Tanzania.
 

Huko nyuma haijalishi, chochote kilichofanyika kabla ya 1970 kwa uchumi zetu kilifanyika, cha muhimu ni kwamba mwaka wa 70, miaka kumi baada ya kupata uhuru, uchimi zetu zilikua sawa, kutokea hapo, mmekua na miaka 46 kupita uchumi wetu.... hivo vijisababu vya eti sijui mkoloni aliacha nini haijalishi, manaje chochote alichoacha tz au kenya, miaka kumi badae tulikua sawa, hapo 1970 ndo kenya ilianza kupiga gap na uchumi wa tz....


Alafu uwache porojo, yani sijui ni mzembe gani wa CCM aliwadanganya hivo kuhusu EAA, na kama mazube mkaamini. Hatukuwa vitani EAC ilipovunjwa, bado raia wetu walikua wanaongeleshana, EAA ilikua biashara, kenya haingeweza kuchukua kilazima ndege za EAA kama contract ilisema tukigawanya kila mtu analata kulingana na mchango wake, hizo ni sheria za biashara, Kenya haingeweza kuchukua ndege hivi hivi bila Tz na UG kuzusha wapewe haki yao... Uliza serikali yenu kwanini haikudai wala haijawahi dai wapewe mchango wao???? mwanzo zile ndege tuliochukua hazikutosha kulipa hayo madeni, tuliwasamehe tu,.... kama unataka kesi enda East Africa Court of Justice iko hapo Tz, enda ukafungue kesi, lakini usishangae mwishowe ukiambiwa Tz ilipe deni lote manake zile ndege hazikutosha kulipa hilo deni
 
Kwa nini Kenya 68% dhidi ya TZ 10%?
Smh sasa hata patnership haujui??

Kama mimi nina milioni mbili wewe una 500k tuanzishe biashara pamoja

Si inamaanisha mimi ntakuwa na % kubwa kukuliko

Smh

Sikiza wiseboy amekupa mawaidha nzuri sana
 
Ila wa kenya wanataka kusifiwa kila siku, ukweli mchungu
 
Khaaaa!!
Mnajituma kwa lipi hasa? Sema ukweli kwamba Waingereza walipaendeleza sana hapa Kenya na tunajua uingerza n taifa kubwa na ukizingatia hali ya hewa iliwapendeza na wakaweza kuwekeza ndyo maana palikua haraka na mpka makampuni makubwa kufanya headquarters zao hapo!!
Usidanganye watu hapa!!
~Cmb
 
ipo on the ground hatuongeii mranda kwenye midomo ya watu kama majirani!!

 
mwanza ni jirani kwa ndugu zetu....tangulia najaa!!!!

kisumu city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…