Nchi ya Uganda na Tanzania wameshindwa kuchanga $1 bilion kujenga refinery plant kwa pamoja

Nchi ya Uganda na Tanzania wameshindwa kuchanga $1 bilion kujenga refinery plant kwa pamoja

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Uganda na Tanzania wanauwezo wa kuchanga na kujenga refinery plant kwa ajili ya mafuta ya Uganda kuliko wanang'ang'ana na bomba la kusafirisha crude oil ambapo kuna figisu nyingi zimeanza kutoka kwa mabeberu.

Kina faida nyingi kusafisha mafuta mwenyewe kuliko kuuza crude oil,ni sawa una alizeti au mahindi halafu unauza nje mwenzako atapata unga na pumba kwenye mahindi au mafuta na mashudu kwenye alizeti.

African my people akili zimegandiana..
 
Uganda na Tanzania wanauwezo wa kuchanga na kujenga refinery plant kwa ajili ya mafuta ya Uganda kuliko wanang'ang'ana na bomba la kusafirisha crude oil ambapo kuna figisu nyingi zimeanza kutoka kwa mabeberu.
Kina faida nyingi kusafisha mafuta mwenyewe kuliko kuuza crude oil,ni sawa una alizeti au mahindi halafu unauza nje mwenzako atapata unga na pumba kwenye mahindi au mafuta na mashudu kwenye alizeti. African my people akili zimegandiana..
Waafrika ni washamba wa maendeleo na washamba wa wazungu
 
Inawezekana ila nadhani kuna ulaji wa watu pembeni
 
Uganda na Tanzania wanauwezo wa kuchanga na kujenga refinery plant kwa ajili ya mafuta ya Uganda kuliko wanang'ang'ana na bomba la kusafirisha crude oil ambapo kuna figisu nyingi zimeanza kutoka kwa mabeberu.
Kina faida nyingi kusafisha mafuta mwenyewe kuliko kuuza crude oil,ni sawa una alizeti au mahindi halafu unauza nje mwenzako atapata unga na pumba kwenye mahindi au mafuta na mashudu kwenye alizeti. African my people akili zimegandiana..
Kwani refinery ya TIPPER Bado ipo?
 
Uganda na Tanzania wanauwezo wa kuchanga na kujenga refinery plant kwa ajili ya mafuta ya Uganda kuliko wanang'ang'ana na bomba la kusafirisha crude oil ambapo kuna figisu nyingi zimeanza kutoka kwa mabeberu.
Kina faida nyingi kusafisha mafuta mwenyewe kuliko kuuza crude oil,ni sawa una alizeti au mahindi halafu unauza nje mwenzako atapata unga na pumba kwenye mahindi au mafuta na mashudu kwenye alizeti. African my people akili zimegandiana..
Sie pesa yetu inatumika kwenda msibsni Kwa malikia ulaya,kwenda kunywa mvinyo msumbiji,kwenda msibsni Japan,kufanya teuzi kila siku,kuzindua vyoo na viprogram vya kata,na kugharamia misafara
 
Sie pesa yetu inatumika kwenda msibsni Kwa malikia ulaya,kwenda kunywa mvinyo msumbiji,kwenda msibsni Japan,kufanya teuzi kila siku,kuzindua vyoo na viprogram vya kata,na kugharamia misafara
Kweli kabisa mkuu nami nilikua nawaza ivyo kwamba Bora kuyasafisha kabisa na hii ingeleta Ajira za kutosha kuliko ilivyo sasa.
Kwanini wasingekaa kuona namna wanaweza kuyasafisha hii ingeshusha gharama za mafuta na pia haya mataifa yangepata pesa kupitia kuuza mafuta kwenye nchi za Africa
 
Back
Top Bottom