Nchi ya ujerumani ilipaswa kutofungamana na upande wowote kwenye kitu chochote

Nchi ya ujerumani ilipaswa kutofungamana na upande wowote kwenye kitu chochote

Km vile ulikuwa kichwan mwangu,nilikuwa nasoma kitabu kinachoelezea sababu ya vita vya kwanza na athari kwa ujerumani..
Kwanza inaonyesha France na uingereza ndio wenye urafiki wa kweli pamoja na mshirika wa US toka zamani kwenye shida na raha
Pili mjeruman sababu moja wapo ya vita ile alijihami kipind kile baada ya kuona uzalishaji wa zana za kivita mkubwa kwa majirani zake ndio icho anachofanya now Urusi(hakupaswa leo hii amtenge)
Tatu mjeruman kageuzwa ngao ya mataifa ya ufaransa na Uingereza..wanamtumia wanavyotaka
Nne madhara anayopata ujerumani ingekuwa wanapata Uingereza ama ufaransa amini vikwazo vyote sasa hivi wangeshavifuta.
Mwisho naona bado naona US ki chin chin anafurahia pia uchumi wa mjeruman unavyodidimia coz ni km bado wanamuona aaminiki na ipo siku ndio akaja kuwa chanzo cha mvunjiko wa NATO miaka ya mbeleni
mmeanza kutunga stori zenu ili kujifariji na uvamiz wa Urusi , ina maana Ukraine alikuwa anazalisha silaha nying mpk ss hv anaomba za nje ?
 
Kabisa..Ulaya kuna OMBWE l uongozi...kama wakina Markel wangekuwepo hii vita isingetokea....
Haya mambo ya kutengeneza military alluances, blocks ndo huwa chanzo cha ugomvi...
mlaumu aliyevamia sasa
 
Braza angalia kwanza vita ya kwanza ya dunia,ndio utapata ulinganisho wako.
Vita ya kwanza ya dunia hata km mjeruman asingevamia majiran zake basi angevamiwa yeye,maana majiran zake walianza kujiimarisha kijeshi kumvamia yeye..
Vita ya pili kiongoz akiwa Hitler yeye hakutaka makosa ya vita ya kwanza kwa mtangulizi wake yajirudie na ndio maana alianza kuliimarisha jeshi kabla ya kutokea yaliyotokea..
Angalia kipindi cha vita ya pili Uingereza,ufaransa walikuwa wanafanya nin na walikuwa na mpango gani na ujerumani?
Hapo ndio utajua Hitler alichofanya kwa wakati ule alikuwa sahihi..japo historia inamwandika vibaya( na hapa jibu unalijua wakina nani wamemuandika vibaya)
wavaa kobaz ni watu wa ajab sana hamjuu historia kaz kujitungia historia zenu , Anachofanya Urusi ni marudio ya alichofanya Austria chini ya Kaka ake Ujerumani tena Ujeruman + Austria walikuwa na sabab za msingi kuliko huyu andunje
 
Alichofanya Hitler ndicho Putin anakifanya, Hitler asingevamia nchi zinzomzunguka basi angevamiwa yeye, hali kadhalika kwa Putin asingeanzisha hii oparwsheni maalumu ya kijeshi nchini Ukraine basi ingefikia siku angetandikwa yeye. Hapa ujasusi ndo unafanya kazi zaidi wakati gani sahihi kuvamia mana ukichelewa inakula kwako, jiulize kwann Putin kaanza kukata gesi mapema kabla ya baridi kuanza ulaya walitegemea akate wakati wa baridi, kawahi ili watumie akiba yao mpaka baridi ilifika akiba imeisha angeendelea kuwamwagia wangehifadhi ya kutosha, sasa unawambia wananchi waoge mara 1, maofisi wapunguze matumizi ya hita nk
acha uongo wewe , kwa akili zako fupi ndo ungeweza kuivamia nchi yenye nyuklia
 
Wape darasa team NATO.
naona jamaa kakuokota boya lake , yaan ww ndo rais wa Ujeruman na ufaransa unakaa na kupanga kuivamia Urusi yenye nyuklia , mbona hutokuwa tofaut na kichaa ,nchi km Urusi unaanzia wap kuivamia ? tumieni akili Urusi anapigania tumbo hapo wala hana sabab za msingi
 
Back
Top Bottom