Nchi ya ujerumani ilipaswa kutofungamana na upande wowote kwenye kitu chochote

mmeanza kutunga stori zenu ili kujifariji na uvamiz wa Urusi , ina maana Ukraine alikuwa anazalisha silaha nying mpk ss hv anaomba za nje ?
 
Germany akubali kuwa Neutral tu Marekani anamwingiza chaka tu.
Neutral ili avamiwe km Ukraine , maisha yanabadilika , kuwa ndan ya NATO inampa heshima kuliko kujitenga
 
Kabisa..Ulaya kuna OMBWE l uongozi...kama wakina Markel wangekuwepo hii vita isingetokea....
Haya mambo ya kutengeneza military alluances, blocks ndo huwa chanzo cha ugomvi...
mlaumu aliyevamia sasa
 
wavaa kobaz ni watu wa ajab sana hamjuu historia kaz kujitungia historia zenu , Anachofanya Urusi ni marudio ya alichofanya Austria chini ya Kaka ake Ujerumani tena Ujeruman + Austria walikuwa na sabab za msingi kuliko huyu andunje
 
acha uongo wewe , kwa akili zako fupi ndo ungeweza kuivamia nchi yenye nyuklia
 
Wape darasa team NATO.
naona jamaa kakuokota boya lake , yaan ww ndo rais wa Ujeruman na ufaransa unakaa na kupanga kuivamia Urusi yenye nyuklia , mbona hutokuwa tofaut na kichaa ,nchi km Urusi unaanzia wap kuivamia ? tumieni akili Urusi anapigania tumbo hapo wala hana sabab za msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…