Nchi yetu haijapungukiwa akiba ya Dollar tu, mpaka wazee wenye hekima haina!

Nchi yetu haijapungukiwa akiba ya Dollar tu, mpaka wazee wenye hekima haina!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
 
Wazee wakushauri wapo ila hawasikilizwi ndio maana wameamua kuwa kimya.na wazee wakiamua kuwa kimya mara nyingi huwa ni ishara ya mambo mazito yatawatokea wote waliotekeleza uhuni wowote.
 
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
Tumepungukiwa mengi:

1. Hatuna katiba nzuri.
2. Hatuna viongozi waadilifu na wazalendo.
3. Hatuna bunge.
4. Hatuna mahakama.
5. Hatuna mifumo ya utawala bora,
6. Hatuna taasisi za ulinzi na usalama zinazolinda maslahi ya Taifa

Tulivyobarikiwa kuwa navyo:
1. Bunge bandia
2. Wabunge wasio na upeo wala uadilifu, waliopachikwa ubunge na mtu mmoja.
3. Chama tawala kilichojaza viongozi na wapiga debe wasiojielewa wala kujitambua
4. Mahakama bandia
5. Viongozi maslahi
6. Jeshi la polisi na TISS vikaragosi wa kumtumikia Rais badala ya Taifa.
 
Nchi ameachiwa ajuza anapuyanga anavyotaka
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
 
Wazee wenye hekima wamejituliza baada ya kutulizwa kimasihara ili kazi iendelee🐒🐒🐒
AAPP0t.jpeg
 
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
Wazee wenyewe kama kina Yusuf Makamba na Steven Wasira unategemea nini nao ni wa ufaika wa huu ufisadi?
 
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
Ngoja tupate kidogo,huenda wakaweka neno la hekima ambalo hujabahatika kuliona katika hili.
 
Sasa kama wazee wenyewe ni Kikwete na Makamba wanaosukumiza watoto wao kuwa mawaziri ile baadaye kuwa marais unategemea nini.
 
Ni jambo la hatari kama nchi kukosa wazee washauri na wenye hekima!

Kama jambo hili la kubinafisishwa Bandari zetu za Bara lilipita mikononi mwa wazee kwa ajili ya kushauri na wakaona vema kwamba inafaa kwa DP word kupewa mkataba usio na kikomo! Doh!!

Kama Taifa, tunahasara kubwa kiasi cha kusema, sasaTaifa letu halina uhaba wa dollar pekee bali pia uhaba wa wazee waliojaa busara na hekima!

Inawezekanaje wazee mkubali huu mkataba usio na kikomo?

Kipimo cha maarifa yenu kilishia hapo mkasahau kabisa kuna kizazi chenye ufanisi mkubwa kushinda nyinyi kinachozaliwa sasa ndo kitakuja kuboresha hizi Bandari?

Wazee hawa ambao hawakumshauri vizuri Rais wetu wakaona inafaa tu Bandari apewe mwarabu Milele na Milele?

Ajabu kabisa
Na kama hashauriki
 
Back
Top Bottom