Nchi yetu kwasasa haina kitisho chochote, kwa nini Lissu hataki kurudi?

Nchi yetu kwasasa haina kitisho chochote, kwa nini Lissu hataki kurudi?

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Nimemiss sauti na harakati za Tundu Lissu, atarejea lini huyu mtu?

Ni nini ambacho kimeendelea kuwa kikwazo kwake kiasi kwamba abakie Ubelgiji mara nyingi ana ahidi kurejea mwisho kunakuwa kimya kabisa Kwanini harejei? Najua Kuna watu wengi wamemmis akiwa mahakamani sambamba na akina Kibatala kuwapambania Watanzania katika kudai haki zao nyinyi mlio karibu naye mwambieni nchi iko shwari.

Samia Suluhu Hassani yuko poa sana kila sehemu kuko poa hakuna haja ya kujinyima uhuru wake mwambieni arejee tuendelee kuipambania nchi yetu.
 
Hana nauli!

Hana nauli ambayo haizidi milioni 2,

Jiulize belgiji anaishije?
 
Asali anayolambishwa na wazungu bongo hamuwezi kumpa, kwann aache asali na maziwa aje ateseke na wachawi wa bongo msio na jema.
 
Achana na Lissu pambana na TOZO bwa mdogo. Kama umeajiliwa mshahara wako unakatwa 50% kama hujijui
30% PAYEE
18% VAT
2% TOZO ( Benki na Miamala ya kifedha)
 
Back
Top Bottom