Kenya ni muungano wa Wawakilishi wa Makabila kutaka Madaraka.
Bila kuwapata akina Naj Balala na kundi lake kutoka Mombasa hutopata kura za Pwani.
Usipocheza karata zako kumpata Kalonzo au Uhuru au Martha Karua au kwa sasa huyu dogo wa Machakos hapo Central hupati kitu na hii inaenda mpaka Mai mai pia Naivasha
Akina Musalia Mudavadi nao wana uwakilishi wa baada ya JKIA Kipengele na Kajiado mpaka huku Namanga bila kuungana nao na kuahidi madaraka.
Kanda ya Nyanza huku baada ya Kisii Kuja Kurya district mpaka ziwa Victoria bila familia ile ya Kijaluo utakuwa umechimba chini.
Ujinga unaendelea vivo hivo kwa Wakalenjin hadi Malaba huko Ruto na ndugu hawakuelewi.
Nenda kwa Wasomali wa Turkana ni maujinga jinga tu.
Nini cha kuigwa hapo ni ushuzi tu.
Coalitions za kikanda na kikabila hazina nafasi Bongo
Sent from my SM-A520F using
JamiiForums mobile app