Nchi za Afrika Mashariki inabidi zijifunze demokrasia ya kweli kutoka kwa Wakenya

Unaijua K
 
Katiba inasema lazima mshindi apate ushindi katika county 24 na 50%+ 1 of the total vote casted . Kwa hivyo Kama hupati support ya nusu ya nchi huezi kua kiongozi na Ndio maana mtu anaungana na Yale maeneo ambayo anaweza kushawishi na kwa sababu kenya imeruhusu vyama vingi pia lazima uzungumze na viongozi mbali mbali kutoka maeneo tofauti ili wakuunge mkono maana wakiwania hautapata mshindi first round kwa sababu kuwa zitakua zimegawanyika and it's very costly, so sio eti Kama wewe ni mjaluo ukitafuta sapoti ya mudavadi au kalonzo au hata duale eti unakua unatafuta sapoti ya kikabila hili tu ni kuzuia Hawa viongozi wengine kusimama ili mshindi apatikane haraka tofauti na tanzania ambayo haina threshold kwa mfano mtu anaweza pata kura Kanda ya ziwa million moja na asipate kura kwingine na atangazwe mshindi.
 
Kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani hawaangalii chochote, yani hata ukishinda kw kura moja tayari unatangazwa rais..
 
Kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani hawaangalii chochote, yani hata ukishinda kw kura moja tayari unatangazwa rais..
System yao ni tofauti na yetu maana Yao haijapeana threshold ya mshindi kutangazwa Sasa wakiiona wanasiasa wa Huku wakiungana wanawaona Kama wakabila hawajui kuwa mshindi Kenya kunahitaji nguvu nyingi tofauti na huko kwao ambako mshindi alishajulikana tu yeyote ambaye CCM watamtoa Basi ndio mshindi.
 
Kabisa, huku kwetu km hujaungana na viongozi kutoka kanda tofauti tofauti huwezi kuwa rais leo wala kesho..
Manake lazima ushinde kura katika counties 24 na pia hapo hapo lazima ufikishe 50.1% ya kura zote..
Tanzania bana
 
Democracy ya kuua raia sababu ya corona? Unalazimisha watu wakae ndani ili wasije kufa kwa korona halafu unaua watu 15 Wala hamna maandamano kweli Kenya kichwa Cha mwendawazimu
 
Demokrasia zaidi ya taasisi ya urais. Demokrasia ni taasisisi zilizo madhubuti (strong independent institutions), freedom of expression and association, chaguzi huru na haki. Watanzania chini ya udikteta wa chama kimoja tuache fitna na kejeli kwa majirani .
 
Fitina ipi unayoiongelea wewe? Kwa hiyo kenya ndio kuna demokrasia au umeamua tu kujiandikia
 
Kabisa, huku kwetu km hujaungana na viongozi kutoka kanda tofauti tofauti huwezi kuwa rais leo wala kesho..
Manake lazima ushinde kura katika counties 24 na pia hapo hapo lazima ufikishe 50.1% ya kura zote..
Tanzania bana
Kenya kuna majangili ya siasa tu, ndio mahana kwenye uchaguzi kila kundi linajitangaza limeshinda😂😂
 
Kenya kuna majangili ya siasa tu, ndio mahana kwenye uchaguzi kila kundi linajitangaza limeshinda[emoji23][emoji23]
Jitangaze kw jiwe uone ujangili utakaofanyiwa[emoji1787][emoji1787]
 
Huku kwa KENYA tuko tunatumia UKABILA kupata Rais bora bora Tz majiran zetu wako na chama
 
Jitangaze kw jiwe uone ujangili utakaofanyiwa[emoji1787][emoji1787]
Sasa mamlaka ya kutangaza rais inafahamika,wewe ukakusanye wavuta bangi wenzako huko mnarekodi mkanda eti wewe ni mshindi wa kiti cha urais,posib utapewa mimba haraka uzae tofali.

Maana hizo ni bangi na miraa.
 
Sasa mamlaka ya kutangaza rais inafahamika,wewe ukakusanye wavuta bangi wenzako huko mnarekodi mkanda eti wewe ni mshindi wa kiti cha urais,posib utapewa mimba haraka uzae tofali.

Maana hizo ni bangi na miraa.
Hapo ndipo mnapofeli sasa[emoji1787][emoji1787]
Kuna vitu ni vya kupuuza, akijiapisha ndio ataingia ikulu..
Mihemko kenya hamna, serikali haiendeshwi kw povu
 
Hapo ndipo mnapofeli sasa[emoji1787][emoji1787]
Kuna vitu ni vya kupuuza, akijiapisha ndio ataingia ikulu..
Mihemko kenya hamna, serikali haiendeshwi kw povu
Mnaacha kupuuza vitu vya hovyo mnapuuza vitu vyenye ishara zote za hatari.

Hivi nikuulize,unakumbuka mauaji kenya baada ya uchaguzi sababu ilikuwa niji,si ni mambo ya ajabu kama hayo!!!!mpaka raila akaitwa kwenda kubembelezwa awasihi wafuasi wake waache fujo,ndipo hali ikatulia.

Sisi tunapuuza jambo la kipuuzi haswa hata lije na suti,ila jambo lolote lenye harufu mbaya litachukuliwa hatua bila kujali ni dogo kiasi gani.
 
Hakuna mtu atawajibu, nyinyi endeleeni kubwetuka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…