Nchi za Afrika zilizofanikiwa kurusha satelite zao katika anga mbalimbali

Nchi za Afrika zilizofanikiwa kurusha satelite zao katika anga mbalimbali

Mkuu kwa hoja ya Nyerere upo sahihi ni moja ya mzarendo aliyesahau kujijengea hata nyumba ya kuishi baada ya kustaafu ili hiyo sentence ya mwisho ina ukakasi.
Naomba radhi, kwa sentensi ya mwisho kwa uungwana wa reply yako. Bado nasimamia uzalendo wa Mwl Julius Kambarage Nyerere Burrito.
 
Kwani Tanzania chini ya utawala wa Mh. Rais Mama Samia Suluhu Hassan umeshindwa kurusha Satellite hata tupitwe na nchi ndogo kama Rwanda?.
Waafrika kipaumbele chetu ni satellite? Unarusha satellite huku wananchi wako hata unga wa kusongea ugali hawana inamaanisha nini? Kwenye hizo nchi zilizorusha satellite ukitoa Misri, SA, Mauritius, Tunisia, Morocco na Algeria hizo zingine ni kama zimedandia treni kwa mbele.
 
Nchi za Afrika hupeleka satelaiti zao anga za mbali kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kufanya tafiti za kilimo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano.

Ifuatayo ni orodha ya nchi za Afrika ambazo zimefanikiwa kurusha satelaiti zao kwenda anga za mbali. chanzo TRT

View attachment 3117988

Ungeweka sawa kuwa hizo satelite ni earyh Obervation satelite zote zimekula lift ya NASA.. maana yake zimerushwa kutoka US kwa kutumia NASA satwlite vehicle launchers facilities.. ila monitoring base ndo ziko kwenye nchi husika.. sababu lengo ya satelite hizo ni kupata data zinazohusu, geotopology, minerals, Agriculture hali ya ya hewa na mengineyo .
Mfano hiyo ya Uganda walishirikiana na Zimbabwe katika program ya "Bird" kwa ufadhili wa Japan nahs ingawa sina hakika sana naweza kusahihishwa lengo ilikuwa kuweza kuscan na kuepana taarifa za maswala ya kilimo.. na mengineyo

Ukisema wamerusha satelite zao watu watawaweka kwenye mwavuli mmoja na the likea of Urusi, US na China

ni kitu kizuri ku sorsource data zako mwenyewe ila ukiniuliza mie nitakwambia.. Ni kitu Muhimu ila sio cha dharula

Wa Africa tunashindwa kuwa na consistency kwenye maendeleo sababu hatuend kwa plan. Tunaruka ruka kwenye program zetu.. na mbaya zaid wazungu wanaona hilo ila sababu wanafaidika wanaendelea ku mislead

Hiki chini ndo serikali nyingi za Africa zinakikosa

1728314321801.jpeg


Huwez kuwa na Nchi ambayo haina mahitaj ya msingi ya uhakika madawa, hosptal. Barabara na maji safi.. kisha unawekeza kwenye project ya kuweza kukuonyesha hali ya hewa na Mambo ya Ardhi.. wakat hizo taarifa ungezioata kwa wengine ,ndio utalipia ila sio gharama kubwa..

Tanzania sasa hivi hizo data anazipata kupitia madishi 2 yamefungwa kule
Kunduchi na hapa kurasini kilimo, almost 10 years ago.. sina data za karibun kuna uwezekano yameongezwa.. na yote yamekuwa connectes na Satelite za Africa na za ufaransa.. by the way ilikuwa ni msaada wa Ufaransa (METEO FRANCE) kwa nchi za Africa kupitia nahs ni African Bank na AU, sina hakika.. kenya na tanzania walikuwa moja ya wafaidika

NARUDI SIKATAI KUWA NI KITU MUHIMU ILA SIO DHARULA. Kwa dunia ya sasa ambapo teknoloji imekuwa information ni easy and cheap to get.. we fikiria US anamiliki zaid ya 11,000 satelite.

Hapo hatujamtaja China, Mrusi na wengine na wala hatujazungumzia private entities

Elon musk anamiliki 2/3 ya PRIVATE satelite zote dunian ambazo zina ORBIT earth.. yule jamaa kila week alikuwa anarusha satelite.sasa kwa nini hizo fedha za msaada za kununuliwa na kurushiwa satelite yenu isipelekwe kwete barabarab na Hospital
 
Ungeweka sawa kuwa hizo satelite ni earyh Obervation satelite zote zimekula lift ya NASA.. maana yake zimerushwa kutoka US kwa kutumia NASA satwlite vehicle launchers facilities.. ila monitoring base ndo ziko kwenye nchi husika.. sababu lengo ya satelite hizo ni kupata data zinazohusu, geotopology, minerals, Agriculture hali ya ya hewa na mengineyo .
Mfano hiyo ya Uganda walishirikiana na Zimbabwe katika program ya "Bird" kwa ufadhili wa Japan nahs ingawa sina hakika sana naweza kusahihishwa lengo ilikuwa kuweza kuscan na kuepana taarifa za maswala ya kilimo.. na mengineyo

Ukisema wamerusha satelite zao watu watawaweka kwenye mwavuli mmoja na the likea of Urusi, US na China

ni kitu kizuri ku sorsource data zako mwenyewe ila ukiniuliza mie nitakwambia.. Ni kitu Muhimu ila sio cha dharula

Wa Africa tunashindwa kuwa na consistency kwenye maendeleo sababu hatuend kwa plan. Tunaruka ruka kwenye program zetu.. na mbaya zaid wazungu wanaona hilo ila sababu wanafaidika wanaendelea ku mislead

Hiki chini ndo serikali nyingi za Africa zinakikosa

View attachment 3118041

Huwez kuwa na Nchi ambayo haina mahitaj ya msingi ya uhakika madawa, hosptal. Barabara na maji safi.. kisha unawekeza kwenye project ya kuweza kukuonyesha hali ya hewa na Mambo ya Ardhi.. wakat hizo taarifa ungezioata kwa wengine ,ndio utalipia ila sio gharama kubwa..

Tanzania sasa hivi hizo data anazipata kupitia madishi 2 yamefungwa kule
Kunduchi na hapa kurasini kilimo, almost 10 years ago.. sina data za karibun kuna uwezekano yameongezwa.. na yote yamekuwa connectes na Satelite za Africa na za ufaransa.. by the way ilikuwa ni msaada wa Ufaransa (METEO FRANCE) kwa nchi za Africa kupitia nahs ni African Bank na AU, sina hakika.. kenya na tanzania walikuwa moja ya wafaidika

NARUDI SIKATAI KUWA NI KITU MUHIMU ILA SIO DHARULA. Kwa dunia ya sasa ambapo teknoloji imekuwa information ni easy and cheap to get.. we fikiria US anamiliki zaid ya 11,000 satelite.

Hapo hatujamtaja China, Mrusi na wengine na wala hatujazungumzia private entities

Elon musk anamiliki 2/3 ya PRIVATE satelite zote dunian ambazo zina ORBIT earth.. yule jamaa kila week alikuwa anarusha satelite.sasa kwa nini hizo fedha za msaada za kununuliwa na kurushiwa satelite yenu isipelekwe kwete barabarab na Hospital
Hayo Mambo ya barabara na hosptiatal na shule tungetakiwa tuwe tulishamalizana nayo Toka miaka ya 80
 
Hayo Mambo ya barabara na hosptiatal na shule tungetakiwa tuwe tulishamalizana nayo Toka miaka ya 80

Ndo hatujamaliza tunarukia kwenye vitu ambavyo sio vya dharula.. fikiria mfunge satelite zenu muone jinsi ukame unavyosambaa au kimbunga kinakuha wakat hakuna evacuation plan.. au hata bunkers kwa ajili ya majanga

Au hakuna plan ya kuweza kuwasaidia wakulima kama mtaona upande flan wa Ardhi kuna dalili za ukame

Sasa maana yake nn wakat Ulaya na marekan raia wanalia gharama za matibabu juu.. sie tunalia zaid maana hata hizo hosptal zenyewe sio za kutosha..

1728317874557.jpeg


Hizo ni quarter za polisi Uganda.. ni bati full suite.. hivyo huyo askar anaishi humo umwambie ngonjera za tuna satelite yetu atakuelewa
 
Ivi huko angani si itakuwa n shida kutakuwa kumejaa ma satelite hadi ndo mana wabongo tumetulia kwanza na ss tupate space turushe yetu zmejazana sn huko ka makaburi ya kisutu
 
Nchi za Afrika hupeleka satelaiti zao anga za mbali kwa sababu mbalimbali, ikiwemo kufanya tafiti za kilimo na kurahisisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano.

Ifuatayo ni orodha ya nchi za Afrika ambazo zimefanikiwa kurusha satelaiti zao kwenda anga za mbali. chanzo TRT

Soma Pia:

View attachment 3117988
Sisi tunaoonyesha vifaru kila 9 December na kuwatisha majirani vipi tuna ngapi hadi sasa
 
Watanzania hawajui hata kazi ya satelite. sasa ukiwaambia kuirusha achilia mbali kuitengeneza ndio kazi inaanzia
 
Ndo hatujamaliza tunarukia kwenye vitu ambavyo sio vya dharula.. fikiria mfunge satelite zenu muone jinsi ukame unavyosambaa au kimbunga kinakuha wakat hakuna evacuation plan.. au hata bunkers kwa ajili ya majanga

Au hakuna plan ya kuweza kuwasaidia wakulima kama mtaona upande flan wa Ardhi kuna dalili za ukame

Sasa maana yake nn wakat Ulaya na marekan raia wanalia gharama za matibabu juu.. sie tunalia zaid maana hata hizo hosptal zenyewe sio za kutosha..

View attachment 3118057

Hizo ni quarter za polisi Uganda.. ni bati full suite.. hivyo huyo askar anaishi humo umwambie ngonjera za tuna satelite yetu atakuelewa
Kama nataka kukuelewa hivi. Unaeleweka. . kwamba, tukisema sasa ni maji tunakomaa kila Kijiji, kitongoji tunahamia, barabara za lami, mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, tarafa kwa tarafa, tukimaliza tunahamia, tractor 5 kila Kijiji tukimaliza nk, nk nk .Naungana nawe.
 
Kama nataka kukuelewa hivi. Unaeleweka. . kwamba, tukisema sasa ni maji tunakomaa kila Kijiji, kitongoji tunahamia, barabara za lami, mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, tarafa kwa tarafa, tukimaliza tunahamia, tractor 5 kila Kijiji tukimaliza nk, nk nk .Naungana nawe.

Yeah hio ndio maana yangu one step at time.. tusilazishwe au kujilazimisha "ku keep up with the jonases" ni sawa uwe una nyumba choo cha shimo na maji ya kisima.. ila jiran kazungusha ukuta kafunga security camera na get la umeme na ww unataka kufanya.. sawa ni muhimu ila dili na kupata maji safi na choo kizuri kwanz

Wazungu wanajua ulimbuken wetu waafrica tuna ugonjwa mmoja wa kupenda kuonekana tuko up to date.. na kupenda kusifiwa sana basi ss hv hawatumii mabavu kama kipindi cha ukoloni sasa hv wanatujia na mirad ambayo in direct inawapa faida wao zaid..

Utashangaa mnafadhiliwa rada, mara mnafadhiliwa research za ugonjwa wa kipindupindu kisha wanakuzieni dawa.. au chanjo.. halafu wanawatangaza kuwa by 2040 mtakuwa "kipindupindu free" ..

Wakat swala ni rahs jenga miundo mbinu mizuri kuna magonjwa yataisha.. UK walisumbuliwa sana na ugonjwa wa panya ule unaitwa bubonic plague a.k.a "tauni" wakafa sana wakaja kugundua ni swala la usafi wa mitaa.. maana kipindi hicho nyumba zote za mbao.. vyoo vya shimo.. barabara vumbi hakuna mitaro..

So uchafu wavinyesi vya wanyama na binadamu plus vyakula.. Panya na nzi ndo sherehe. Watu walikufa kama mbu wamepigwa dawa.. kuna mitaa ilibidi ipigwe kiberit maana vifo vilizid had maiti zinaachwa nje.. hiyo ilikuwa around 1300..

Bado wakaj kupigwa na "the great stick" yaan nchi nzima ilikuwa inanuka

Suluhisho ilikuwa reinforce sheria kali za usafi na miundo mbinu. had leo UK ni one of the best country kuwa na underground sanitary sewer tunnels network ma hiyo around 1800 huko had leo zinafanya kaz.. wazungu wametokeo huku tulipo ila hawatak tutoke huku

Wanajua tukiwa na miundo mbinu bora. Huduma za afya bora.. upatikanaji wa maji na umeme wa uhakika.. then hatutakuwa desperate na ushamba
 
Yeah hio ndio maana yangu one step at time.. tusilazishwe au kujilazimisha "ku keep up with the jonases" ni sawa uwe una nyumba choo cha shimo na maji ya kisima.. ila jiran kazungusha ukuta kafunga security camera na get la umeme na ww unataka kufanya.. sawa ni muhimu ila dili na kupata maji safi na choo kizuri kwanz

Wazungu wanajua ulimbuken wetu waafrica tuna ugonjwa mmoja wa kupenda kuonekana tuko up to date.. na kupenda kusifiwa sana basi ss hv hawatumii mabavu kama kipindi cha ukoloni sasa hv wanatujia na mirad ambayo in direct inawapa faida wao zaid..

Utashangaa mnafadhiliwa rada, mara mnafadhiliwa research za ugonjwa wa kipindupindu kisha wanakuzieni dawa.. au chanjo.. halafu wanawatangaza kuwa by 2040 mtakuwa "kipindupindu free" ..

Wakat swala ni rahs jenga miundo mbinu mizuri kuna magonjwa yataisha.. UK walisumbuliwa sana na ugonjwa wa panya ule unaitwa bubonic plague a.k.a "tauni" wakafa sana wakaja kugundua ni swala la usafi wa mitaa.. maana kipindi hicho nyumba zote za mbao.. vyoo vya shimo.. barabara vumbi hakuna mitaro..

So uchafu wavinyesi vya wanyama na binadamu plus vyakula.. Panya na nzi ndo sherehe. Watu walikufa kama mbu wamepigwa dawa.. kuna mitaa ilibidi ipigwe kiberit maana vifo vilizid had maiti zinaachwa nje.. hiyo ilikuwa around 1300..

Bado wakaj kupigwa na "the great stick" yaan nchi nzima ilikuwa inanuka

Suluhisho ilikuwa reinforce sheria kali za usafi na miundo mbinu. had leo UK ni one of the best country kuwa na underground sanitary sewer tunnels network ma hiyo around 1800 huko had leo zinafanya kaz.. wazungu wametokeo huku tulipo ila hawatak tutoke huku

Wanajua tukiwa na miundo mbinu bora. Huduma za afya bora.. upatikanaji wa maji na umeme wa uhakika.. then hatutakuwa desperate na ushamba
Asante sana kwa uchambuzi makini. Natamani tungekuwa na dhamira, na mikakati kama hii. Nahisi ujinga na ushamba wetu, ni ajira ma mtaji wa wazungu. Hivyo hawataki kutushtua na sisi hatutaki kuwajifunza vyema.
 
Waafrika kipaumbele chetu ni satellite? Unarusha satellite huku wananchi wako hata unga wa kusongea ugali hawana inamaanisha nini? Kwenye hizo nchi zilizorusha satellite ukitoa Misri, SA, Mauritius, Tunisia, Morocco na Algeria hizo zingine ni kama zimedandia treni kwa mbele.
Kwa hiyo sisi kipaumbele chetu kununua Land cruiser V8 LC300 kila mwaka, ufisadi bila kuchukuliwa hatua na kutekana si ndio? Au wananchi gani unajifanya kuwaonea huruma?
 
Back
Top Bottom