Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

waarabu kusnichiana ndio mchezo wakawafunza na ndugu zetu. kumshinda mdhalimu israel ni ndoto ya saa 7. by the way waarabu wayahudi wazungu wote madhalimu wakubwa dhidi ya mtu mweusi. wakifokoana mimi siingilii. siuonei huruma upande wowote.
 
Israel inapigana kwa ajili ya Mwili wa Mtanzania wenzetu Joshua Mollel, waambie ndugu zako Baba yake Joshua anasikitika na kila sikitiko lake Arabs wanazikana tu. Hadi waachie mateka wasio na hatia..

Mwisho Hamas sio Palestina ni Magaidi
 
As long as US remains strong, there will always be Israel!
Cha kufanya:
1. Itokee fitna baina ya US na Israel itakayopelekea US Kuondoa uungaji mkono wake kwa Israel.
2. itokee Vita kubwa ya dunia, kisha Marekani ashindwe..

Haya yakitokea, Israel haiwezi kudumu hata kwa saa 24!
Mnajifariji huku mmebana marinda mkiwa na uchungu mkuu.

US akimlaani na kuwaacha Israel yeye ndo ataanguka siyo Israel.

Mungu mwenyewe kwenye Biblia amesema kabisa na kinywa chake UKIMBARIKI Israel UTABARIKIWA naam UKIMLAANI utaalaaniwa. Lakini hamsikii shauri zenu endeleeni kujipa matumaini tu huku mmebanamikundu.

Watu wa ajabu sana hamsikii
 
Naomba moderator Uzi huu usalie hapa na usiunganishwe kokote

Wadau hamjamboni nyote?

Taifa lenye tabia za kikatili na ambalo limemuasi Mungu bado litaendelea kuwaua na kuwanuanyasa Ndugu zetu

Naombeni maoni au ushauri wenu mbinu gani zitumike Ili kuhakikisha kuwa taifa hilo la kizayuni linaangamizwa kabisa na kuiacha Dunia iwe sehemu salama

Kama unahofia chochote pengine mosaad au shin bet basi wasilisha maoni yako inbox

Tuungane kwa pamoja kuwatetea Ndugu , hakuna lisilowezekana mbele za Mungu


Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Tunakuja sio tu inbox hadi moyoni.
 
Naomba moderator Uzi huu usalie hapa na usiunganishwe kokote

Wadau hamjamboni nyote?

Taifa lenye tabia za kikatili na ambalo limemuasi Mungu bado litaendelea kuwaua na kuwanuanyasa Ndugu zetu

Naombeni maoni au ushauri wenu mbinu gani zitumike Ili kuhakikisha kuwa taifa hilo la kizayuni linaangamizwa kabisa na kuiacha Dunia iwe sehemu salama

Kama unahofia chochote pengine mosaad au shin bet basi wasilisha maoni yako inbox

Tuungane kwa pamoja kuwatetea Ndugu , hakuna lisilowezekana mbele za Mungu


Lugha zisizo na staha hazikubaliki
🤣🤣🤣 Waafrica ni wanafk sana yaan hapa congo wanauwana daile lakn atuskii watu wakileta uzi zakuwaombea ndungu zetu wakwl alaf unakuta mbuz kama uyu anatuletea mamb ya palestna na Israel wakat ww wanakuona monkey 🐒 ujastarabika achen unafk amakwl adui waafrca n ss wenyw
 
Yani nikikumbuka Imamu wetu alivyouwawa kikatili kulinda, kupigania na kuutetea uislamu yani naenda chumbani kwenye kona giza nakaa na kujikunyata huku nimekunja miguu nakuzamisha kichwa kwenye magoti nakukikumbatia kwa kubana kwa mikono miwili nakuangua kilio cha hatarii.

Kipenzi chetu cha dhati alipambana sana leo tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.

Allah amfanyie wepes na ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
Ameen na awalipe mema zaidi ahlu bayt na vipenzi vyetu Abu bakar radhi za Allah ziwe juu yake Omar ibn khataab, Uthmaan ibn affan na Aliy ibn abi Talib tunawapenda wote bila kubagua wala kuchagua
 
Tatizo waarabu wanasnichiana wenyewe, yaani mwarabu sio mtu wa kuaminika hata kidogo.
Screenshot_20240717-115446_Chrome.jpg
Screenshot_20240717-114814_Chrome.jpg
Screenshot_20240717-114841_Chrome.jpg
Screenshot_20240717-115551_Chrome.jpg
Screenshot_20240717-115652_Chrome.jpg
 
🤣🤣🤣 Waafrica ni wanafk sana yaan hapa congo wanauwana daile lakn atuskii watu wakileta uzi zakuwaombea ndungu zetu wakwl alaf unakuta mbuz kama uyu anatuletea mamb ya palestna na Israel wakat ww wanakuona monkey 🐒 ujastarabika achen unafk amakwl adui waafrca n ss wenyw
Waafrika tunaangamia kwa ujinga wetu,uvivu wetu,taamaa zetu na wizi wetu,hivyo ni aibu hata kuonewa huruma,au kujionea huruma.Acha siku kipimo kikifika tutajikomboa wenyewe,wenzetu wapalestina walishajitambua na wapo kwenye harakati za kujikomboa.
 
Mnajifariji huku mmebana marinda mkiwa na uchungu mkuu.

US akimlaani na kuwaacha Israel yeye ndo ataanguka siyo Israel.

Mungu mwenyewe kwenye Biblia amesema kabisa na kinywa chake UKIMBARIKI Israel UTABARIKIWA naam UKIMLAANI utaalaaniwa. Lakini hamsikii shauri zenu endeleeni kujipa matumaini tu huku mmebanamikundu.

Watu wa ajabu sana hamsikii
Ndio maana Mongoli.
 
Mnajifariji huku mmebana marinda mkiwa na uchungu mkuu.

US akimlaani na kuwaacha Israel yeye ndo ataanguka siyo Israel.

Mungu mwenyewe kwenye Biblia amesema kabisa na kinywa chake UKIMBARIKI Israel UTABARIKIWA naam UKIMLAANI utaalaaniwa. Lakini hamsikii shauri zenu endeleeni kujipa matumaini tu huku mmebanamikundu.

Watu wa ajabu sana hamsikii
Hao wahuni tuu mmejaa wameshachomeka mistari yao humo yaan umbariki aliyeua wajumbe wa Mungu na kuwatesa pamoja na upuuzi wote wanaofanya ushoga ushenzi? Machukizo ya Mungu wewe endelea kubaliki tu ushanasa
 
Unashindwa kuwapigia kelele, kuwatetea na kuwasikitikia ndugu zako wa Kiafrika wanaoteseka huko Sudan,DRC,Msumbiji na Chad unakuja kumuonea huruma mwarabu ambae hana hata mpango wala shobo na wewe.
 
Back
Top Bottom