Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

Watajua wenyewe.Mimi nimewatahadharisha tu kwa uoni wangu.
Waisrael wapo kila kona ya dunia. Huyo Antony ukimfuatilia origino yake ni myahudi kwahiyo lazima asaidie nyumbani.
Waarabu huwa wanaua watu ambao ni raia kama pale Somalia, Nigeria na Sudani ambao hawana silaha ila wakisikia wanapambana na wanaume wenzao wenye silaha wanatoka nduki.
Waarabu wanaweza kujilipua kwenye mikusanyiko ya watu, kuvamia raia huko vijijini, wanaua, kubaka na kuiba mali. Tofauti na hapo hawawezi kupigana vita.
Unafikiri kwanini Zanzibar kulikuwa na Zanzibar revolution?
Watanzania wenzetu waliotekwa na magaidi wa Hamas wameachiliwa?
 
Naomba moderator Uzi huu usalie hapa na usiunganishwe kokote

Wadau hamjamboni nyote?

Taifa lenye tabia za kikatili na ambalo limemuasi Mungu bado litaendelea kuwaua na kuwanuanyasa Ndugu zetu

Naombeni maoni au ushauri wenu mbinu gani zitumike Ili kuhakikisha kuwa taifa hilo la kizayuni linaangamizwa kabisa na kuiacha Dunia iwe sehemu salama

Kama unahofia chochote pengine mosaad au shin bet basi wasilisha maoni yako inbox

Tuungane kwa pamoja kuwatetea Ndugu , hakuna lisilowezekana mbele za Mungu


Lugha zisizo na staha hazikubaliki
 
Kila Mmoja dunia hii anaiogopa islaer,jamaa wanafanya udhalim waziwazi huku kila Mmoja akiwafumbia macho.,si ajabu hata moderators wataufuta huu Uzi kwa kuogopa mkono wa islaer.., ngoja tuone

Lakini siungi mkono kulisambaratisha taifa teule,Bali wajifunze kuishi na majirani zao kwa amani
 
UKIJIBU MASWALI HAYA NITATOA MAONI YANGU:
1. Kwanini Israel akichokozwa na raia wake kuuwawa hilo kwenu halina shida? Lakini akilipiza kisasi mnaleta hizi hoja? Kwani wao (Israel sio watu???)

2. Kama Israel (nchi moja) inasumbua waarabu wote wanamchangia na bado wanashindwa hamuoni kuwa ni ngumu kumshinda Israel?

3. Nini kinazinda nchi za kiarabu zaidi ya 6 kuivamia na kuingia kwenye ardhi ya Israel na wanaishia kurusha vikombora kwa mbali?

#VictoryAscerta
 
Kila Mmoja dunia hii anaiogopa islaer,jamaa wanafanya udhalim waziwazi huku kila Mmoja akiwafumbia macho.,si ajabu hata moderators wataufuta huu Uzi kwa kuogopa mkono wa islaer.., ngoja tuone

Lakini siungi mkono kulisambaratisha taifa teule,Bali wajifunze kuishi na majirani zao kwa amani
Dahh mkuu islaeri tena😎
 
Naomba moderator Uzi huu usalie hapa na usiunganishwe kokote

Wadau hamjamboni nyote?

Taifa lenye tabia za kikatili na ambalo limemuasi Mungu bado litaendelea kuwaua na kuwanuanyasa Ndugu zetu

Naombeni maoni au ushauri wenu mbinu gani zitumike Ili kuhakikisha kuwa taifa hilo la kizayuni linaangamizwa kabisa na kuiacha Dunia iwe sehemu salama

Kama unahofia chochote pengine mosaad au shin bet basi wasilisha maoni yako inbox

Tuungane kwa pamoja kuwatetea Ndugu , hakuna lisilowezekana mbele za Mungu


Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Kwa akili ya kawaida mkiondoa mihemko yenu ya kidini mtaweza kuifuta israel kumbukeni israel ni taifa la nuklia lina vichwa kama 200 sasa msifike huko tutayapoteza haya mataifa yenu kama iran, lebanon, gaza nasyria na uturuki
 
Mleta mada mjinga sana, wale magaidi wa Hamas wanaoua kila anayepita mbele yao bila kujali utaifa wake kwenu ni wazuri, ila Israel anayehakikishha anawafuta wale wanyama kwenye uso wa dunia kwenu ndie adui, nyie mna tatizo kwenye bongo zenu.
 
As long as US remains strong, there will always be Israel!
Cha kufanya:
1. Itokee fitna baina ya US na Israel itakayopelekea US Kuondoa uungaji mkono wake kwa Israel.
2. itokee Vita kubwa ya dunia, kisha Marekani ashindwe..

Haya yakitokea, Israel haiwezi kudumu hata kwa saa 24!
 
Naomba moderator Uzi huu usalie hapa na usiunganishwe kokote

Wadau hamjamboni nyote?

Taifa lenye tabia za kikatili na ambalo limemuasi Mungu bado litaendelea kuwaua na kuwanuanyasa Ndugu zetu

Naombeni maoni au ushauri wenu mbinu gani zitumike Ili kuhakikisha kuwa taifa hilo la kizayuni linaangamizwa kabisa na kuiacha Dunia iwe sehemu salama

Kama unahofia chochote pengine mosaad au shin bet basi wasilisha maoni yako inbox

Tuungane kwa pamoja kuwatetea Ndugu , hakuna lisilowezekana mbele za Mungu


Lugha zisizo na staha hazikubaliki
Yani nikikumbuka Imamu wetu alivyouwawa kikatili kulinda, kupigania na kuutetea uislamu yani naenda chumbani kwenye kona giza nakaa na kujikunyata huku nimekunja miguu nakuzamisha kichwa kwenye magoti nakukikumbatia kwa kubana kwa mikono miwili nakuangua kilio cha hatarii.

Kipenzi chetu cha dhati alipambana sana leo tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.

Allah amfanyie wepes na ampe qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein.
 
waarabu kusnichiana ndio mchezo wakawafunza na ndugu zetu. kumshinda mdhalimu israel ni ndoto ya saa 7. by the way waarabu wayahudi wazungu wote madhalimu wakubwa dhidi ya mtu mweusi. wakifokoana mimi siingilii. siuonei huruma upande wowote.
 
Back
Top Bottom