Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Mimi mitaa yangu ni pall Mall kwenye kona tu ya Half moon 🌙 ukizunguka ubalozi wa TzSky Eclat ni jirani yako hapo reading
Reading wamejaa sana 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mitaa yangu ni pall Mall kwenye kona tu ya Half moon 🌙 ukizunguka ubalozi wa TzSky Eclat ni jirani yako hapo reading
Kwa kauli hii tu, unafaa kupuuzwa kabisa!Demokrasia ya vyama vingi imepitwa na wakati.
Kazi ipo sasa. Kwa hali iliyopo Israel ni kama ana mpango wa kuifuta Gaza.Abbas wa Fatah na Haniyeh wa Hamas hawapatani na walishapigana Sana mwaka 2006/07
Mimi ninaishi KwamtogoleMimi mitaa yangu ni pall Mall kwenye kona tu ya Half moon 🌙 ukizunguka ubalozi wa Tz
Reading wamejaa sana 😄
Jirani acha basiMimi ninaishi Kwamtogole
Jirani yangu ni Del Boy Derrick TroutterJirani acha basi
Unhekuwa huko ungelalamika na maji na ajali za kila siku
😄 🤣 you got a nice neighborJirani yangu ni Del Boy Derrick Troutter
Yaani unamtaja nabii Musa dhidi ya Firauni . Unaogopa kusema WAYAHUDI dhidi ya Firauni.Wao huwa wanapanga lakini Allah ni mbora wa wapangaji na mjuzi wa kupangua mipango iliyopangwa.
Kwengine anasema huwa anawazunguka maadui zake kutokea pande zote bila wenyewe kujijuwa
Binadamu ni kipofu sana wa kuona mbele yake.Fir'aun alijiona anamfukuza Musa a.s na jeshi lake na hakubali mpaka amshike.Alipoingia baharini na yeye akafuata pengine akisema mshenzi huyu ngoja tumfuate huko huko mpaka tumshike.
Inasemekana katika jeshi la Fir'aun kuna baadhi ya askari walikaribia kuhisi hatari mbele yao na wakataka warudi nyuma lakini farasi wao mkuu dume akaone farasi jike mzuri kule kwenye njia ya baharini na akawa hasikii kitu na wote wakamfuata bila kutaka.Kilichotokea ni kuwa walipofika katikati wote wakazama na kufa wakati jeshi la Musa a.s limeshavuka.
Haya maguvu na maneno ya jeuri ya Israel ikisaidiwa na Marekani yawezekana ndio wanajipeleka kwenye maangamizi.Allah subhaanahu wa taala ameahidi kuwa hawapi njia madhalimu na ahadi zake hazina mabadiliko.
Demokrasia ya vyama vingi imepitwa na wakati.
Maghayo, wakati Yesu anasulubiwa kama msemavyo, baba yake alikuwepo wapi, naye alikula kona na kuwapa ushindi warumi?Kuran hii hii iliyoandikwa na Muhammad alikuwa anapaka wanja na hina na kumlamba mdomo na kumnyonya ulimi mwanamme mwenzake al Hussein msikitini akiwa uchi?
Allah angewasaidia wapalestina sasa kwasababu kila kitu Allah akbar hata walipokuwa wanauwa watoto Israel allah akbar.
Awasaidie sasa. Huoni Mungu wa kweli wa Israel anavyosaidia Israel?
Allah kala kona licha ya kuabudiwa kwa mashindano.
I STAND WITH ISRAEL.
TRUE GOD BLESS AND PROTECT ISRAEl
Watembee kifua mbele, ya nini kupigana na walowezi?Ndiyo ukweli wenyewe huo.
Wanakimbia maisha ya dhiki,fujo na mapigano yasiyokwisha huko ArabuniWanafata mali zao walizoiba wafaransa.
Wakati huo sisi tunawaita ni wana wa Israel ambao baba yao ni mtume wa Mwenyezi Mungu kama nabii Issa na nabii Mussa a.s.Wayahudi ni watu waovu waliofuatia baadae na wasingeweza kuokolewa dhidi ya jeshi la Fir'aun.Yaani unamtaja nabii Musa dhidi ya Firauni . Unaogopa kusema WAYAHUDI dhidi ya Firauni.
Mungu wa WAYAHUDI amekuwa akiwapigania hao watu daima . Aliwatoa mikononi mwa Firauni , akawaokoa mikononi mwa Hitler, Leo unajipa moyo hii vita et watapigwa 😂😂😂
Israel alipewa ardhi asilimia ngapi mwaka 1947?unamshambulia mtu halaf unataka aendelee kufuata hayo maagizo , hv mna ukichaa ?
Mussa alikuwa myahudi ashkenazi au myahudi mizrahi au myahudi falasha?Yaani unamtaja nabii Musa dhidi ya Firauni . Unaogopa kusema WAYAHUDI dhidi ya Firauni.
Mungu wa WAYAHUDI amekuwa akiwapigania hao watu daima . Aliwatoa mikononi mwa Firauni , akawaokoa mikononi mwa Hitler, Leo unajipa moyo hii vita et watapigwa 😂😂😂
Hao hawapigwi kwa watu kuungana, kapelekewa moto wqa mgambo tu, manowari za mumewe zimeshajaa hapo.Hata waungane wote hawawezi moto wa Israel.
Unajitia moyo sio?nadhani moyoni wako una majeraha makubwa Sana kila ukiangalia wapendwa wako na nchi Yao walivyoburudishwa,ila mbele za umma unakaza...poleni sana Kwa madhila yaliyowapataHao hawapigwi kwa watu kuungana, kapelekewa moto wqa mgambo tu, manowari za mumewe zimeshajaa hapo.
Hao wanachezea kichapo cha uso kwa uso, kama cha juzi.