Nchi za Kiarabu muda wa kuishinda Israel ni sasa

waarabu kusnichiana ndio mchezo wakawafunza na ndugu zetu. kumshinda mdhalimu israel ni ndoto ya saa 7. by the way waarabu wayahudi wazungu wote madhalimu wakubwa dhidi ya mtu mweusi. wakifokoana mimi siingilii. siuonei huruma upande wowote.
 
Israel inapigana kwa ajili ya Mwili wa Mtanzania wenzetu Joshua Mollel, waambie ndugu zako Baba yake Joshua anasikitika na kila sikitiko lake Arabs wanazikana tu. Hadi waachie mateka wasio na hatia..

Mwisho Hamas sio Palestina ni Magaidi
 
Mnajifariji huku mmebana marinda mkiwa na uchungu mkuu.

US akimlaani na kuwaacha Israel yeye ndo ataanguka siyo Israel.

Mungu mwenyewe kwenye Biblia amesema kabisa na kinywa chake UKIMBARIKI Israel UTABARIKIWA naam UKIMLAANI utaalaaniwa. Lakini hamsikii shauri zenu endeleeni kujipa matumaini tu huku mmebanamikundu.

Watu wa ajabu sana hamsikii
 
Tunakuja sio tu inbox hadi moyoni.
 
🤣🤣🤣 Waafrica ni wanafk sana yaan hapa congo wanauwana daile lakn atuskii watu wakileta uzi zakuwaombea ndungu zetu wakwl alaf unakuta mbuz kama uyu anatuletea mamb ya palestna na Israel wakat ww wanakuona monkey 🐒 ujastarabika achen unafk amakwl adui waafrca n ss wenyw
 
Ameen na awalipe mema zaidi ahlu bayt na vipenzi vyetu Abu bakar radhi za Allah ziwe juu yake Omar ibn khataab, Uthmaan ibn affan na Aliy ibn abi Talib tunawapenda wote bila kubagua wala kuchagua
 
Waafrika tunaangamia kwa ujinga wetu,uvivu wetu,taamaa zetu na wizi wetu,hivyo ni aibu hata kuonewa huruma,au kujionea huruma.Acha siku kipimo kikifika tutajikomboa wenyewe,wenzetu wapalestina walishajitambua na wapo kwenye harakati za kujikomboa.
 
Ndio maana Mongoli.
 
Hao wahuni tuu mmejaa wameshachomeka mistari yao humo yaan umbariki aliyeua wajumbe wa Mungu na kuwatesa pamoja na upuuzi wote wanaofanya ushoga ushenzi? Machukizo ya Mungu wewe endelea kubaliki tu ushanasa
 
Unashindwa kuwapigia kelele, kuwatetea na kuwasikitikia ndugu zako wa Kiafrika wanaoteseka huko Sudan,DRC,Msumbiji na Chad unakuja kumuonea huruma mwarabu ambae hana hata mpango wala shobo na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…