Nchi za mabeberu wana Ramani zinazoonyesha maliasili ilipo Tanzania na nchi nyingine mbili. Wao wanaamini walitukabidhi tuwatunzie lakini si zetu

Hapa najiuliza kwa nini mwendazake akuuweka wazi mkataba wa bandari ya bagamoyo ili nasi tuuone ulivyo wa ovyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeulizia swali zuri na la kitaalam. Kwa jinsi alivyokuwa anapenda sifa,angeuweka wazi ingependeza. Pili,nadhan alitaka kuonyesha umma ni jinsi gani awamu iliyopita ilikuwa haifai Kama ambavyo na yeye anavyokosolewa in absentia!!! MWOSHA HUOSHWA!!;
 
Mara kwa mara tumekua tunazungumzia ujasusi wa kiuchumi ! Je nyumbani mmewekeza kweli huko??

Sababu tunayaona hayo kwa watu huku uzalendo huanzia chini na hasa ulinzi wa nchi huanzia kwa mtu mmoja mmoja na huu ndio uzalendo halisi ..

Tanzania uzalendo tafsiri yake ni kuipenda Serikali ya CCM haijalishi nani yuko madarakani...

Asilimia 90% ya mabalozi wetu balozi za nje ni either Majasusi au wale waambata wao ila je wanafaidishaje nchi na ujasusi au ndio wanavuta familia zao ziende kula maisha kwa chances walizotengeneza?
 
Mataifa ya nje khasa mataifa makubwa wana uwezo mkubwa wa kuingilia mataifa madogo kwa njia mbalimbali.

Njia mojawapo ni ya ujasusi.

Mwaka 2016, niliongelea hili suala la ujasusi wa kiuchumi na kiteknolojia kupitia hapa: Ujasusi wa Kiuchumi na Kiteknolojia unakuwa kwa kasi, Je Tanzania iko tayari
 

Embu jaribu kusoma hii, pole pole utapata maana.

 

Unaonekana ni mzuri wa kusoma vitabu vya kijasusi, ana kuangalia filamu za kijasusi. Sasa ukipandwa na hizo hisia ndio unatengeneza habari za kufikirika kama hizi. Toka wakoloni wameondoka katika nchi hii, ni lini hao mabeberu wamewahi kurudi kuchukua rasilimali zetu kwa njia za kijasusi, bila kuingia mkataba na hawa hawa viongozi wetu wezi wa kura? Acha story za kwenye vijiwe vya wachovu, huenda kuna mahali huko mtaani huwa unawapigia hizi story, na wanakuona unajua mambo kumbe ni muhuni tu.
 
Wajinga kama wewe wamebaki wachache, hawajaondoka na ardhi, kwa nini usitengeneze ramani yako! Kauli ya mabeberu ni ya kuficha udhaifu wako na aliitumia jiwe kuficha mapungufu yake!
 
WIN WIN SITUATION ndio mpango mzima sio WanaCCM wahongwe Nchi iingizwe kwenye umasikini na Madeni ya kutisha
 
Namuunga mkono mtoa mada,tatizo kubwa ni tamaa walizonazo viongozi wetu. Wazungu/Wachina wanapo taka kutuibia, kuna viongozi wetu wakubwa hupiga pesa ya pembeni ili kuhakikisha hao mabwana wanapata mkataba nafuu wa kutuibia. "Washaurini wakubali asilimia 10-15, mkifanikisha hili kuna billioni 5 cash zenu kama shukrani kwa kufanikisha huu mkataba" Hapa ndipo viongozi wengi huldanganyika na kusaini mikataba ya ajabu. Hata sisi tunao walaumu ni vigumu sana kukataa kitita hicho cha pesa.
 
I'm humbled.

Huwa wapenda sana personal attacks lakini nilikwishakusamehe mara 70.

Hicho kitabu si cha kijasusi.

Mwandishi amezunguka dunia na akafika hadi Zanzibar ndipo akapata wazo la kuandika Hicho kitabu, great.

Mimi si mtu unaenidhania kabisa ila nashukuru Mungu nimesoma.

Lakini nahisi pia ukinifuatilia nina uwezo wa kuona mbali ila si kwa ramli.

Sasa soma uzuri na uelewe sijamtaja marehemu JPM katika mada yangu ila mada yazungumzia jinzi ilivyo ngumu kuzuia rasilimali zetu kuchukuliwa kwa njia yoyote ile.

Kwani nchi za mabeberu tayari wana ramani yote ya Afrika na ukanda huu ambao ndo una nchi hizo tatu ndo unoangaliwa zaidi.

Pamoja na hayo zote twapaswa kutulia na kuona jinsi historia inaweza kuandikwa kisha, kufutwa na kuandkwa upya.

Kitendo hichi chatokezea hapa Tanzania.

Ila kwa sasa relax au chill na punguza jazba tuendeleze kasi ya maendeleo.
 
HIZI STORY ZILIKUWA ZA MIAKA YA 60, ETI WAZUNGU WANAIONEA WIVU TANZANIA..MFYUUUU!

FUNGENI MIPAKA NA VIWANJA VYA NDEGE NDIO UJUE NANI ANAMHITAJI MWENZIE.

WEWE UNA AKILI ZA KIMAGUFULI LICHA YA WAZUNGU KUMUWEKEA BETRI KWENYE MOYO ILI ASIFE ILA BADO ALIKUWA ANAWATUKANA..magofool!
 

Ni wapi kwenye post yangu nimemtaja JPM, au unajishuku? Hivi Richard umetuchukulia sisi humu jukwaani ni kama hao wa kwenye vijiwe vya alkasusu? Ramani ya dunia hii ni kitu adimu, mpaka useme kuna mtu anayo as if ni kitu adimu sana? Mimi hapa nina ramani ya dunia nzima, na rasilimali, viwanda, majengo mbalimbali ndani vya dunia hii. Je hiyo ni ishara kuwa nataka kwenda kuchukua utajiri wa maeneo hayo? Nimekuuliza wakoloni wameondoka hapa nchini miaka 60 iliyopita, ni lini wamewahi kurudi kuchukua madini yetu kijasusi bila kuingia mikataba na viongozi wetu? Richard achana na hizi hekaya kama za mtu aliyechanganyikiwa.
 
Tunagombanishwa bila sisi wenyewe kujitambua

Mnagombanishwa na nani nyie majizi ya kura? Vijana wadogo mna mawazo ya post colonial era. Acheni utoto.
 
Mauzo ya madini enzi za mkoloni, wakati ule bado walikua wanamuamini Mungu na 10% waliyoturudishia ilikua kama zaka
Mkuu at least mjerumani ametuachia reli,madaraja n.k,muingereza alipoingia alichota tu mali zetu,hamna alichotujengea yule selfish
 

Tatizo ni lilelile umaskini na kupenda 10%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…