Ndugu yangu hiyo habari umeiokota wapi. Tanzania katila miaka ya karibuni kwenye uzalishaji dhahabu imeshuka sana.
Wazalishaji wakubwa wa dhahabu Afrika:
1. Ghana
2. South Africa
3. Sudan
4. Mali
5. Burkina Faso
From Ghana to Burkina Faso we profile the leading gold producers across the African continent.
Ghana – 142.4 tonnes. ...
South Africa – 118.2 tonnes. ...
Sudan – 76.6 tonnes. ...
Mali – 71.1 tonnes. ...
Burkina Faso – 62 tonnes.
28 Aug 2020

Home - NS Energy › ...
Top five gold mining countries of Africa from Ghana to Burkina Faso
Wakati wa uongozi wa awamu ya 5, Tanzania imeanguka kwenye ukuaji wa sekta zote za uchumi. Bahati mbaya Watanzania wengi hawaujui ukweli huu.