BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #21
Tamko rasmi la serikali lilisema Tanzania inaheshimu haki za binadamu wakiwemo mashoga.Inawezekana ccm walishajiunga huko siku nyingi kinyemela..
Kangi Lugola: Wapenzi wa jinsia moja wapo salama Tanzania - BBC News Swahili
Wiki iliyopita, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alitangaza kuanza kampeni dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo serikali imejitenga nayo.www.bbc.com
Mimi sio LGBTQ.Mleta mada
Wizo unaupiga mwingiThibitisha uwepo wa huyo Mungu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo kuzungumzia hili ni kupoteza muda, kila kitu kiko waziii.
Hadi unadondokaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wizo unaupiga mwingi
Kuheshimu haki za mashoga maanaake ni kuruhusu ushogaTamko rasmi la serikali lilisema Tanzania inaheshimu haki za binadamu wakiwemo mashoga.
Komwe acha ujinga, km wewe unachezewa kinyeo ni weweMY TAKE: Tanzania tujifunze kutoka South Africa
Mnapenda kuchezewa vinyeo ndio mnafungua hizi mada,Hadi unadondokaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha nishushe nondo.Kama sio shoga kwanini unawaza ushoga na kuujadili. Jitafakari
🤣🤣🤣🤣🤣 mimi nazungumzia KatibaKomwe acha ujinga, km wewe unachezewa kinyeo ni wewe
Shida gani masawe?Daaaa shida sana hiiii
Katiba imekufanyaje inakuzuia wewe kuchezewa kinyeo chako Si kuna haki ya faragha mule huoni inakulinda?🤣🤣🤣🤣🤣 mimi nazungumzia Katiba
Sio haki za mashoga, ni haki za binadamu.Kuheshimu haki za mashoga maanaake ni kuruhusu ushoga
🤣🤣🤣🤣 bado sijarizikaKatiba imekufanyaje inakuzuia wewe kuchezewa kinyeo chako Si kuna haki ya faragha mule huoni inakulinda?
Kinyeo natumia changu, simuazimi mtu na hanipangii mtu namna ya kutumia kinyeo changu. Deal na kinyeo chako bwasheeee.Mnapenda kuchezewa vinyeo ndio mnafungua hizi mada,
Na nini?🤣🤣🤣🤣 bado sijarizika
Alafu usichekeKinyeo natumia changu, simuazimi mtu na hanipangii mtu namna ya kutumia kinyeo changu. Deal na kinyeo chako bwasheeee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]