Nchi zilizohalalisha ushoga Afrika: Historia na takwimu za maktaba

Tanzania kama Nchi haina tatizo, tatizo lipo kwa viherehere flan hivi wanaopenda kupiga chabo nyumba za watu, lol
 

Unataka maelezo yapi juu ya 'chama chetu?'
Orodhesha ujibiwe,

Hakuna mtu 'anaamua' kua homosexual, ni kama vile hakuna mtu anaamua kua heterosexual au wewe uliamua??

Unaposema LGBTQ+ kua kawaida una maanisha nini? Muelezee huyo mtu alikua ni nani katika mwamvuli wa LGBTQ+ na ulijuaje kua amekua 'kawaida'

Ongea na mimi hua simtukani mtu anayetaka kujua.
 
nataka nijue the science behind it, make it make sense

heterosexuals si wanaeleweka kirahisi tu

hiyo ya homo kuwa kawaida niliisoma reddit, alikua homo akajikuta anavutiwa na jinsia tofauti, akahama
 
nataka nijue the science behind it, make it make sense

heterosexuals si wanaeleweka kirahisi tu

hiyo ya homo kuwa kawaida niliisoma reddit, alikua homo akajikuta anavutiwa na jinsia tofauti, akahama

Heterosexual inaelewekaje? nani aliichagua?
Hivyo hivyo na homesexual haijulikani how ila ipo, hakuna aliyeichagua,

Mfano, unaweza ukanipa utafiti wa kisayansi kwanini kuna watu wanatumia mkono wa kushoto (left handed) kwenye kila kitu na wengine wanatumia mkono wa kulia (right handed) na wengine wanatumia mikono yote (ambidextrous)?

Kwenye LGBTQIA+ kuna B ina stand for Bisexual huyu anavutiwa na both Male and Female, lakini kuna P, Pansexual huyu hana chaguo yoyote kwake fresh tu as long as ni binaadam, teh, halafu kuna Q, Question hawa hua bado hawajajipata wanajitafuta.... so huenda huyo ulomsoma ni aidha B au P au Q.
 
the evolutionary objective of reproduction

nyie ni deviants

kinachonichanganya zaidi, haipo kwa binadamu tu
Deviants, lol,
Hizo ni thoughts ambazo jamii imejiwekea kwa kua mtu anakua kinyume na mila na tamaduni zao, uliuliza kisayansi nikakupa mfano swali la left handed na right handed,

Jamii zetu zilikariri kua mapenzi ni kati ya Me na Ke kumbe mapenzi ni zaidi ya hayo,

Nakupa na hii,
Ijue tofauti ya Sex na Gender, kajisomee kuhusu Sexual orientation na Gender Identity/Gender Queer
 
We dada, njoo kwanza kwangu niwe nakufira kila ninapotaka ndipo nichukue mawazo yako. Mimi kinyeo tu, huko mbele sitaki.
 
Inafikirisha mkuu labda nitaelewa siku moja

Nipo kati kati ya kupinga na kukubali

Ila kuwaua sijui kuwafunga, violence against LGBTQ napinga
 
Sura ya maimamu tz waliibongeza SA nchi inayounga mkono Ushoga.
 
Wewe ni shoga?
 
Si bure bila shaka wewe ni shoga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…