Nchi zilizohalalisha ushoga Afrika: Historia na takwimu za maktaba

Tusidangane! Ushoga siyo wa kurithishana! Hakuna aliyezaliwa akiwa shoga! Hakuna kinasaba cha ushoga! Kwenye genetic map ya mtu hakuna kinasaba cha ushoga! Kinachotokea ni kwamba mashoga wengine walinajisiwa na watu wabaya (watu wao wa karibu) tangu wakiwa watoto wadogo, hivyo kuzoesha na kuingiziwa hisia za ushoga tangu wakiwa watoto wadogo. Kwa hiyo hawana kumbukumbu ya lini walianza ushoga! Kwa hiyo hudhani kwa makosa kuwa walizaliwa hivyo. Mashoga walio wengi walishawishiwa na watu kwa kupewa pesa
 
Uko sahihi kihistoria
 
Rwanda kumbe ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…