mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
- Thread starter
-
- #41
Mkuu nenda wikipedia, nenda hata google and then search, "what are the countries leading in watching porn" then am sure Utapata majibu.Ila nchi hizo kuna censorship na sites kibao zime blokiwa ,hizi takwimu zina ukakasi ,kuna nchi hapo mfano saudia mitandao yote ya jamii yamekuwa blocked kuanzia fb,instagram nk achilia mbali sites za porn na movies
Ukiwa ndani ya nchi kama saudia ,UAE,North Korea kuna sheria Kali za internet na wame block vitu vingi ..
Hii list haihitaji PhD kujua kama ni fake
UAE si ndiyo ipo DUBAI?Ila nchi hizo kuna censorship na sites kibao zime blokiwa ,hizi takwimu zina ukakasi ,kuna nchi hapo mfano saudia mitandao yote ya jamii yamekuwa blocked kuanzia fb,instagram nk achilia mbali sites za porn na movies
Ukiwa ndani ya nchi kama saudia ,UAE,North Korea kuna sheria Kali za internet na wame block vitu vingi ..
Hii list haihitaji PhD kujua kama ni fake
Mkuu nime check google nimeona ni just blog 1 imechapisha na forums so sio reliable source na ndio maana nikasema ni za ukakasi ,kuna blogs mbona zilimlisha maneno Trump kuwa atawafunga Mugabe na museveni so blogs za mtu sio reliable source na Wikipedia hawajatoa data hzoMkuu nenda wikipedia, nenda hata google and then search, "what are the countries leading in watching porn" then am sure Utapata majibu.
Ndio ipo kuna wageni wengi wamekuwa deported baada ya kukutwa wana VPN na saizi hauwi deported bali jela+fineUAE si ndiyo ipo DUBAI?
Anasa zote zile Dubai kumbe porn huwezi kuangalia?Ndio ipo kuna wageni wengi wamekuwa deported baada ya kukutwa wana VPN na saizi hauwi deported bali jela+fine
Dubai ndiyo ipo UAEUAE si ndiyo ipo DUBAI?
Ukiwa dubai huwezi ku-access porn sites XXX zote zimekuwa blocked na sio hivyo tu hata WhatsApp calling wame blockAnasa zote zile Dubai kumbe porn huwezi kuangalia?
Tumehujumiwa Tanzania hatujatajwa wakati ndio vinara
Hii taarifa haihitaji uwe na PhD ugundue kuwa ni ya uongo
nchi nyingi ulizozitaja kuna censorship mfano ukiwa saudi Arabia huwezi kutumia Facebook ,ndio maana huwezi kukuta id za wasaudia haswa wasichana
Pili kuna censorship kibao na huwezi kutizama sababu zipo blocked na mitandao yote ipo blocked
Let say utatumia VPN lakini VPN huko ni illegal na ukikamatwa jela 10yrs na fine mfano mwaka Jana UAE jamaa alihukumiwa kwenda jela kwa kutumia VPN
Yaani nchi ambazo websites zimekuwa blocked na censorship na ni illegal kutumia VPN ndio ziongoze halafu nchi ambazo bundle lako tu unatizama zisiwepo
Nchi kama North Korea,Saudia,Iran, huwezi kunidanganya hizo utazikuta nchi 3 za mwisho zenye kutizama porno sababu kuna censorship,blocked na sheria kibao za Internet
Mkuu nime check google nimeona ni just blog 1 imechapisha na forums so sio reliable source na ndio maana nikasema ni za ukakasi ,kuna blogs mbona zilimlisha maneno Trump kuwa atawafunga Mugabe na museveni so blogs za mtu sio reliable source na Wikipedia hawajatoa data hzo
Nakupa tu mfano saudia kuzungumza tu siasa mtandaoni jela ,na sites zote za porn zimekuwa blocked ,google watatoaje data za watazamaji wa porn katika nchi hiyo wakati sites zote zimekuwa blocked katika nchi hiyo
Ndio maana nikakuambia haihitaji uwe na PhD kuamini habari hii kutoka kwenye chapisho la blog ya mtu tu,ingekuwa media au site sawa ..yani hapa sijapata tabu kutafuta nilivyoona source ni unknown blog halafu nikichekesha akili kuna sehemu hata Facebook huipata ukiwa kwenye hiyo territory na sites zote huzipati halafu iongoze kuwa na takwimu ya watazamaji walio wengi huo ni uongo uliotukuka
Nakumbuka google walitoa data ya wananchi Kenya wana search vitu gani haswa na ukienda kutafuta hiyo habari gogle saizi utakutana na relianle sources nyingi,sio habari hii uliyoitoa imechapisha na unknown blog moja tu na kabla ya kusearch google kwa kutumia tu akili yangu nikajua haiwezi kuwa kweli
Duh sasa mkuu watu DUBAI wanaipendeaga nini? Kuna hata sehemu unaweza pata Malaya wanaojiuza Kwa hali hiyo?Ukiwa dubai huwezi ku-access porn sites XXX zote zimekuwa blocked na sio hivyo tu hata WhatsApp calling wame block
Licha ya anasa unazoziona na wageni kibao wameweka censorship hiyo na njia pekee ni mpaka uwe na VPN je risk hiyo unaweza kuifanya
Mfanya utaft atakua alikuaTumehujumiwa Tanzania hatujatajwa wakati ndio vinara
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tanzania tumekosekana hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli sahizi watu wako bize kutafuta hela