Nchi zinazoongoza Kuangalia Video za Pilau za Mtandaoni

Nchi zinazoongoza Kuangalia Video za Pilau za Mtandaoni

Hi Wanabodi,

Chini ni list ambayo imetolewa na pornmd ikiorodhesha nchi zinazoongoza kwa uangaliaji wa zile video za kiutu uzima mitandaoni. List imenishangaza kwa kweli.

Hii hapa jionee mwenyewe.

c96cf265f51e22a06548f392eb2767ad.jpg
Siamini mpaka Faizafoxy aje ajionee macho macho
 
Kuna marijali sana kuliko ulaya walipo alibiana malinda.
 
Usije shangaa hata kwenye mapenzi ya jinsia moja hizo hizo nchi zikaongoza!!!
 
Daahh TZ ikate rufaa wakuu.....haikubaliki hii tena tuipinge vikali [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni sawa kabisa ukichek kuna mpaka Arabic xmovie au hao indian ila tanzania haaaa hakuna yaan
 
Nasikitika siioni nchi yangu. By the way....Waarabu wanapenda sana ngono na kwa sababu nchi zao zina sheria kali inabidi tu wajipoze kwa style hiyo.

Kuna Mpakistan mmoja hapa Mwanza ni noma kwa kutongoza dada zetu.
 
Kuna makala moja nilikuwa nasoma wazungu na serikali ya pakistani wanajiuliza jinsi gani wawashawishi watoto wa ki pakistani na nchi nyingine zinazopinga uvamizi kwa nguvu waanze kupenda katuni baada ya kuwa wanawaza jihad tuu,sasa nafananisha uhalisia na hizi takwimu
 
Hyo list n kweli tusiende mbal tuanzie zanzibar apo...wanawake weng wanaliwa tgo unafikir n kutokana na nin..jamaa weng wa zenj wanaokuja huku ndo waangaliaj wazur na wanasal kwel..anyway ukibanwa sana ndio matokeo yake
 
Hii taarifa haihitaji uwe na PhD ugundue kuwa ni ya uongo

nchi nyingi ulizozitaja kuna censorship mfano ukiwa saudi Arabia huwezi kutumia Facebook ,ndio maana huwezi kukuta id za wasaudia haswa wasichana

Pili kuna censorship kibao na huwezi kutizama sababu zipo blocked na mitandao yote ipo blocked

Let say utatumia VPN lakini VPN huko ni illegal na ukikamatwa jela 10yrs na fine mfano mwaka Jana UAE jamaa alihukumiwa kwenda jela kwa kutumia VPN

Yaani nchi ambazo websites zimekuwa blocked na censorship na ni illegal kutumia VPN ndio ziongoze halafu nchi ambazo bundle lako tu unatizama zisiwepo

Nchi kama North Korea,Saudia,Iran, huwezi kunidanganya hizo utazikuta nchi 3 za mwisho zenye kutizama porno sababu kuna censorship,blocked na sheria kibao za Internet
 
Hahahahaaa nimecheka sana kuona hii takwimuu.. Aisee hawa wavaa ninja na vibarakashea ni hatari sana.. Yani watu wanaswali swala Tano na bado wanapata muda wa kucheki hizo videooo.. Hahahaa hatar sana!
 
Nasikitika siioni nchi yangu. By the way....Waarabu wanapenda sana ngono na kwa sababu nchi zao zina sheria kali inabidi tu wajipoze kwa style hiyo.

Kuna Mpakistan mmoja hapa Mwanza ni noma kwa kutongoza dada zetu.
Ila nchi hizo kuna censorship na sites kibao zime blokiwa ,hizi takwimu zina ukakasi ,kuna nchi hapo mfano saudia mitandao yote ya jamii yamekuwa blocked kuanzia fb,instagram nk achilia mbali sites za porn na movies

Ukiwa ndani ya nchi kama saudia ,UAE,North Korea kuna sheria Kali za internet na wame block vitu vingi ..

Hii list haihitaji PhD kujua kama ni fake
 
Back
Top Bottom