ganzi ngumu
Member
- Dec 30, 2013
- 47
- 7
nina mashaka na hiyo ranking yako, ina maana TZ imepitwa na SIERRA LEONE(ni maarufu kwa blood diamonds). hujanishawishi kuamini!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Tz inaongoza kwa nini duniani?
movies zile mkuu(blood diamonds) sio reality,also Amani=usawa+maisha bora;assume usawa=0,maisha bora=0 then Amani=0"Mathematical point of view which show the verified statistical data za mtoa mada"nina mashaka na hiyo ranking yako, ina maana TZ imepitwa na SIERRA LEONE(ni maarufu kwa blood diamonds). hujanishawishi kuamini!!!
movies zile mkuu(blood diamonds) sio reality,also Amani=usawa+maisha bora;assume usawa=0,maisha bora=0 then Amani=0"Mathematical point of view which show the verified statistical data za mtoa mada"
Mkuu hizo ni Takwimu zinazotolewa kila Mwaka na hiyo ni ya 2013nina mashaka na hiyo ranking yako, ina maana TZ imepitwa na SIERRA LEONE(ni maarufu kwa blood diamonds). hujanishawishi kuamini!!!
Tanzania haijaonja machafuko?....... Halafu katika vigezo vyao wao wameendaile ni movie yenye reflection ya maisha halisi, sierra ni nchi yenye machafuko ya waasi yalioongozwa na Foday Sanko, ila kwa sasa kidogo kumetulia, sasa utaifananisha na tz isiyoonja machafuko yoyote?
Nawewe tuulize tuliokuwa Mtwara kipindi cha machafuko, umo haumo ni bakora, kuvuliwaDon't be brainwashed people, Tanzania tuna kila sababu ya kufurahia hii amani tuliyonayo...tuulizeni tuliokuwa congo kipindi cha machafuko...its scrary and horror memorance.
kwani furaha maanake nini....?
linahitaji jibu sasa....!Swali zuri
Hivi Tz inaongoza kwa nini duniani?
Don't be brainwashed people, Tanzania tuna kila sababu ya kufurahia hii amani tuliyonayo...tuulizeni tuliokuwa congo kipindi cha machafuko...its scrary and horror memorance.
Hivi Tz inaongoza kwa nini duniani?
What abt operation tokomeza doings? ar they not scary,? ar they not horrible? kama watanzania wenzetu, ndugu zetu, dada zetu, wadogo zetu, baba zetu, mama zetu na rafiki zetu walipitishiwa vijiti sehem zao za siri, walichomwa makalio na wengine kuuawa, is that not scary and horror,? zaidi ya yote waliyefanya yote hayo ni our fellows TANZANIAN! ISNT IT SCARY MY BROTHER!?