Nchi zinazoongoza kwa Uhuru wa vyombo vya habari barani Afrika

Nchi zinazoongoza kwa Uhuru wa vyombo vya habari barani Afrika

Uswiss

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
842
Reaction score
2,165
Nchi zinaongoza kwa Uhuru wa vyombo vya habari barani Africa.

Source: world press freedom index. Year. 2020.

1. Namibia
2. Cape varde
3. Ghana
4. South Africa
5. Burkina Faso
6. Botswana
7. Senegal
8. Madagascar
9. Mauritius
10. Niger
11. Seychelles
12. Cote D' ivore
13. Malawi
14. Tunisia.

Tanzania haipo hata top 15 sijui wametuchukuliaje hawa watu.

Pia nchi zinazo ongoza kwa kua na Amani barani Africa.

1. Mauritius 2. Botswana 3. Ghana 4.Zambia 5. Sierra Leone 6. Senegal 7.Tanzania 8. Namibia 9. Malawi
 
Nchi inoyoongoza kwa wananchi wake kuwa waoga
1. Tanzania
 
Back
Top Bottom