Nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe barani Afrika

Nchi zinazoongoza kwa unywaji wa pombe barani Afrika

Nilisafiri Kwa Barabara toka Dar to Ndola baada ya Kapiri kuelekea Ndola tulianza kukutana na mapipa ya pombe pembeni mwa barabara yaani kama vile Sisi tunapokutana na wauza mahindi ya kuchoma, ndizi, karanga na mananasi njiani wao wameweka pipa la pombe sikuamini macho yangu muuzaji humuoni ukisimamisha gari anatokea kukuuzia [emoji3][emoji3][emoji3] hii kitu labda iishe hivi karibu maana sijaenda muda
 
Kwa mujibu wa mtandao wa African full facts nchi zinazo ongoza kwa unywaji wa pombe barani Africa ni..

1. South Africa
2. Gabon
3. Namibia
4. Nigeria
5. Uganda
6. Rwanda
7. Burundi
8. Sierra Leone
9. Botswana
10. Tanzania.

Na vilevi (bia) vinavyohusidiwa sana na walevi wa bara la Africa ni:
1. Tusker lager
2. Kasupreko drinks
3. Castle lager
5. Star beer
6. Windhoek lager
7. Chibuku.

Bongo kwa nyakati hizi nadhani hizi.." ngumu kumeza, Rahisi kulewa" ndo zitakua zinakimbiza. Kitoko, double Kiki, smart gin. etc.
Huu utafiti nina mashaka nao.
 
Sasa kama tanzania ni wa 10 kwenye list na tunaona kwenye baa fujo zile je huyo wa kwanza kwenye baa inakuaje
 
Nilisafiri Kwa Barabara toka Dar to Ndola baada ya Kapiri kuelekea Ndola tulianza kukutana na mapipa ya pombe pembeni mwa barabara yaani kama vile Sisi tunapokutana na wauza mahindi ya kuchoma, ndizi, karanga na mananasi njiani wao wameweka pipa la pombe sikuamini macho yangu muuzaji humuoni ukisimamisha gari anatokea kukuuzia [emoji3][emoji3][emoji3] hii kitu labda iishe hivi karibu maana sijaenda muda
Hahahahaha aseee hiyo noma
 
Sasa kama tanzania ni wa 10 kwenye list na tunaona kwenye baa fujo zile je huyo wa kwanza kwenye baa inakuaje
Tatizo sio kwenye bar tu, tulikuwa tunaongea na maboss wa kampuni fulani tunawasifia kwamba hata wakinywa kazi wanafanya vizuri, mmoja akapandisha suruali kidogo kutuonyesha kavaa soksi mguu mmoja mwingine kiatu tupu [emoji3][emoji3][emoji3] anasema amejikuta hivyo ofisini, sehemu ya chakula ya wafanya kazi asubuhi hakuna chai, ni soda, supu labda ukitaka mayai ya kukaanga. Zambia wanakunywa japo nao wakija huku wanadai watz ni wanywaji wazuri maana zetu kiwango cha ulevi ni kikubwa kuliko chao.
 
Back
Top Bottom