Nchimbi ataka wabadhirifu na wezi waombewe ili roho hizo za kuhujumu nchi ziwatoke!

Kwamba Sheria, polisi, mahakama, kazi yake ni nini kwa wahujumu uchumi ๐Ÿค” hivi hawa watu wana akili timamu kweli ๐Ÿค” huyo bibi kizee mwenyewe anazidi kuizamisha nchi Kila kunapokucha upuuzi mtupu kabisa ccm ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Hapo ndipo zilipogota. Mengine unalazimisha tuuu.
 
Kweli imefika wakati hawa Chukuwachakomapema WAONDOKE TU MADARAKANI!
DUH?!
HIVI RAIA TUPO KWELI?!
 
Sio wachukuliwe hatua? Wameombewa for how many years? Wameacha?
 
Huyu Nchimbi kumbe ni takataka hivi.
 
Tuondoe sheria za nchi tuishi kwenye maombi. Niamini maombi yanalipa kuliko sheria za nchi, futeni mahakama boresheni nyumba za ibada.
Bora tuondowe sheria zote zenye macho,na tubakize sheria zisizokua na macho ya kubagua! Maana sheria za sasa kwa wengine zinafanya kazi,na kwa wengine zinakua bubuu hasa zikipenyeziwa rupia!!
 
Hii inamaanisha vyombo vya kuchukulia hatua majizi na mafisadi havina uwezo au vimeparaganyika kwa hio wanatafuta mbadala
 
Kwa hiyo ufisadi fresh tu,unafisadi halafu unaombewa uache,njaa ya uzeeni mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ