Siri kubwa ni hii Serikali za nchi hizo zinamiliki na kufanya biashara za rasilimali za nje ndio chanzo cha kupata pesa za surplus mpaka kulipa wazee na kuweka huduma za bure .
Nchi zote kama nchi uchumi wa madini basi serikali ni anafanya biashara yeye ndio maana wanakuwa na pesa nyingi , rejea dubai kweny mafuta kuanzia mwaka 90 mpaka sasa ni mafuta .
Sasa serikali ya Afghanstan inauza mafuta kweny nje na kuingia pesa kibao kwa siku , siku chache utasikia wanawake wanalipwa mishahara ya bure , elimu bure mpaka chuo , ukioa unapewa pesa za bure ....
Acheni kudanganywa eti muwape wawekazji halafu wakipata trill 1 nyie mnapewa Bill kadhaa ....Ukitaka nchi ipate maendeleo serikali iwekeze na kufanya biashara mtaishi kama wafalme .
China kweny biashara serikali inashika karibia 60% ya biasharaza zote .
Pesa za kodi huwezi kuendelea hata siku moja kwa sababu hata walipa kodi wengi ni janja sana wanakimbia ...Nchi zote kama za Asia serikali zao ndio zinamiliki uchumi na wana viongozi wazalendo.
View attachment 3014528