kwa mfano NHC imeundwa tokea enzi za nyerere lakini hadi leo shirika hilo halina maendeleo yoyote
TANESCO ndio shirika lenye kuleta skendo za ufujaji pesa rejea eskrow acc, richmond...
DART Ni kichaka cha kupiga pesa
TPDC, hamna la maana wanalolifanya
SIDO hamna la maana ktk kuwezesha wajasiriamali ktk kumiliki na maendeleo ya viwanda vidogo kuwa vikubwa
NHIF ni kichaka cha upigaji pesa
TTCL ni heri waifute tu
Tanzania tuna upungufu wa watu wenye nia njema ya maliasili za taifa na maendeleo ya mtu mmoja mmoja, wengi wapo kujilimbikizia mali wenyewe na wapo tayari kuona shirika au kampuni ya serikali ikifanya vibaya lakini wao ndio wanufaike
nchi inahitaji sheria ngumu kama zile za china ili wote tuwe wazalendo
japo hakuna chama cha upinzani sahihi cha kuchukua madaraka kwa sasa lakini ccm ilipaswa iwekwe pembeni waje wengne wenye mawazo mbadala na sio hawa walafi wa madaraka