Ndagu ya sarafu na sufuria

Ndagu ya sarafu na sufuria

Hilo

ni agano na miongoni mwa mashart ya agano Hilo ni hayoo
Bado hujanijibu Swali langu kwanini ngono yaan namaanisha ngono Ina nini mpaka mtu azuiwe asifanye siku 14? Nipe sababu nini nguvu ya ngono? Mpaka kufikia kumkataza mtu asifanye ngono siku 14 maana yake ngono Ina nguvu, sasa nataka kujua hio nguvu ya ngono inakuaje kuaje? Elezea kwa manufaa ya wengi sio unafunikafunika
 
Ukifanya ngono unaharibu masharti ya dawa na pia unachafua nyota na kuingiliana unakaribisha roho chafu sijui nimekujibu
 
Ukifanya ngono unaharibu masharti ya dawa na pia unachafua nyota na kuingiliana unakaribisha roho chafu sijui nimekujibu
Bado haujanibu ongeza nyama yaan chapisha kitabu angalau kurasa 200 ndio naweza nikakuelewa sio hivyo vimaneno viwili vitatu jaza nyama
 
Ukifanya ngono unaharibu masharti ya dawa na pia unachafua nyota na kuingiliana unakaribisha roho chafu sijui nimekujibu
Nini nguvu ya ngono kwanini ngono inazuiwa na kwanini watu wasiofanya ngono mara kwa mara au wanaokaa Muda mrefu bila kufanya ngono wanakua na nguvu sana spiritually kuliko wale wanaofanya ngono ovyo ovyo yaan kwanini wasiofanya ngono ovyo ovyo aura zao ni kubwa zaidi kuliko wale wanaofanya ngono ovyo ovyo?

Ps: aura ni Ile hali ya mtu mfano wa rangi unaweza kusikia mnuso/harufu mfano mtu anaeshinda sana na Ng'ombe akikusogelea unajua tu huyu ametoka kukamua Maziwa sababu ya harufu ya Maziwa ya Ng'ombe N'nehe N'kohi na hio ni aura yake ametoka nayo kwa Ng'ombe na yeye Muda wote anachowaza ni Ng'ombe Ng'ombe Ng'ombe na aura yake inakua imebeba ma-Ng'ombe hapa ndugu zangu wasukuma lazima watakua wamenielewa

Nb: mtu alietoka kuvuta masigara ukimsogelea hivi aura yake inakua imebeba zile taka za sigara kwa hio kinachomwakilisha au unachokutana nacho kabla ya yeye ni harufu ya sigara yaan kitu kinachomzunguka kabla ya yeye ni hizo pakti za sigara

Sasa tukija kwenye ngono hapo ndio naomba maelekezo ya kina, ngono inaua aura ya mtu? Yaan Wewe una aura nzuri kabisa ninaposema aura namaanisha harufu/mnuso wale wazee wa kuufinya wakisikia mtaa wa Pili kimenuka mnuso wa Pilau wanajua leo kuna mnuso sasa hio ndio aura ninayoizungumzia hapa mnukio/mnuso/harufu isiyochukiza eeh bwana harufu unayo karibisha

Tuseme unanukia km Maua ya Waridi halafu unaenda kulala kwenye Dampo au Kalo la Mavi yaan kitakachotokea Ile harufu ya Ua la Waridi itapotezwa na kitu kitakachokua kinasikika ni harufu mbaya ya takataka za Dampo/Kalo la Mavi, yaani hadi urudi sawa ni mpaka ujisafishe Ila bila kujisafisha Wewe utaonekana unanuka Mavi yaan una kimavi
 
Back
Top Bottom