Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
No free lunch in capitalist world
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti, we sharti la kutofanya ngono sijui kwa siku 10 au mwezi 1 utaliweza?Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah Astaghafirullah
Hahahaha...we kuweza...?Eti, we sharti la kutofanya ngono sijui kwa siku 10 au mwezi 1 utaliweza?
Unaona eeeeh? Kuweza ni vigumu sana. Mimi utajiri nitakutafuta kwa nguvu na akili yangu huku nikila pap.u.chii kwa raha zangu.Hahahaha...we kuweza...?
Hayo ndo maneno...😅Unaona eeeeh? Kuweza ni vigumu sana. Mimi utajiri nitakutafuta kwa nguvu na akili yangu huku nikila pap.u.chii kwa raha zangu.
hapo kwenye spiritual healer ndio uchawi wako ulipojifichiaHerbalist and spiritual healer
Usisahahu kuniitq kwenye matumizi mkuuLimeisha Kaka ,Sasa naenda kuwa tajiri wa hili jukwaa ,ni mwendo wa vocha za milioni daily
Hili rahisi mnoooo kuliko kumpiga chura tekeEti, we sharti la kutofanya ngono sijui kwa siku 10 au mwezi 1 utaliweza?
Pumzika mkuu, hayo ni maarifa kama maarifa mengine ambayo hunahapo kwenye spiritual healer ndio uchawi wako ulipojifichia
ni agano na miongoni mwa mashart ya agano Hilo ni hayooNaomba sababu ya kutokufanya yaan kwanini ngono na sio kitu kingine chochote?
Afisini kwetu isaka kahama na kibamba darUnapatikana mkoa gani ndugu herbalist?
Bado hujanijibu Swali langu kwanini ngono yaan namaanisha ngono Ina nini mpaka mtu azuiwe asifanye siku 14? Nipe sababu nini nguvu ya ngono? Mpaka kufikia kumkataza mtu asifanye ngono siku 14 maana yake ngono Ina nguvu, sasa nataka kujua hio nguvu ya ngono inakuaje kuaje? Elezea kwa manufaa ya wengi sio unafunikafunikaHilo
ni agano na miongoni mwa mashart ya agano Hilo ni hayoo
Bado haujanibu ongeza nyama yaan chapisha kitabu angalau kurasa 200 ndio naweza nikakuelewa sio hivyo vimaneno viwili vitatu jaza nyamaUkifanya ngono unaharibu masharti ya dawa na pia unachafua nyota na kuingiliana unakaribisha roho chafu sijui nimekujibu
Nini nguvu ya ngono kwanini ngono inazuiwa na kwanini watu wasiofanya ngono mara kwa mara au wanaokaa Muda mrefu bila kufanya ngono wanakua na nguvu sana spiritually kuliko wale wanaofanya ngono ovyo ovyo yaan kwanini wasiofanya ngono ovyo ovyo aura zao ni kubwa zaidi kuliko wale wanaofanya ngono ovyo ovyo?Ukifanya ngono unaharibu masharti ya dawa na pia unachafua nyota na kuingiliana unakaribisha roho chafu sijui nimekujibu
Unahitaji jibu lipi Hali ya kuwa umeshajibiwa na ukajijibu na unataka tukuandikie kitabu cha kurasa 200 are you serious??Naombeni Jibu langu hapo