CEPHALEXIN
Member
- Apr 11, 2018
- 97
- 99
Ohooo.....Mtu ameamua kutumia kichwa chake kufugia nywele na sio kufikiria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohooo.....Mtu ameamua kutumia kichwa chake kufugia nywele na sio kufikiria.
I will put you inside [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]You're going to cell
Ndio shida ya kuokotwa jalalani ukiwa huna la kufanya na huwezi kujiamini na kuwa mtu huru.Kwa kuwa hujui sifa ya wewe kuwekwa ktk cheo fulani unadhania kuwa umepewa hisani sana.Mlitaka aongee kisomi ili aingie kwenye kumi nane za chifu hangaya? Mmesahau kama mama kwa sasa hataki watu wenye kuonyesha uwezo au kukubalika kuliko yeye.
Mnawasikia kwa sasa hata mawaziri wakitoa takwimu za miradi mbalimbali au kuonekana wakiweka presha mambo yaende?
Kwa sasa ukimya wako ndio uwepo wako kwenye hii serikali. Ukitegeshewa kuongea we pongeza shukuru funga mjadala wako. Waachie wenyewe.
Labda ulikuwa hujawahi kusikia akiongea. Utakuwa ulimuadmire kwa title yake.Nlikuaga namkubali huyu mama tangu akiwa NECTA, ila sasa mmmmmh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimewahi sana. Ila kuna kitu kilikua kinanivutia kwake.Labda ulikuwa hujawahi kusikia akiongea. Utakuwa ulimuadmire kwa title yake.
In/out haaaaaa,Prof kabadilisha lugha za masela kuwa kiswangilishiYou're going to cell
Hivyo viporo vya mwendazake bado wanafikiri wapo kwenye enzi za kumsifu kiongozi wa malaika. 2025 Samia akiachia demokrasia kidogo wajiandae kutafuta kazi nyingine kama upinzani utaingia kwemye uchaguzi.Yani kila wakati najiuliza sana, Hawa maprof sijui akili huwa wanaziacha wapi, leo Prof katoa Pongezi na shukrani Hotuba nzima
Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?
Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?
Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.
It's shamefully
Kweli Kabisa Anaangalia Ugali WakeUnataka waziri aseme nini mbele ya Rais?
Napenda Kukupa Hongera Umefikilia Mbali Naomba Kusema Una Akili Nyingi SanaMlitaka aongee kisomi ili aingie kwenye kumi nane za chifu hangaya? Mmesahau kama mama kwa sasa hataki watu wenye kuonyesha uwezo au kukubalika kuliko yeye.
Mnawasikia kwa sasa hata mawaziri wakitoa takwimu za miradi mbalimbali au kuonekana wakiweka presha mambo yaende?
Kwa sasa ukimya wako ndio uwepo wako kwenye hii serikali. Ukitegeshewa kuongea we pongeza shukuru funga mjadala wako. Waachie wenyewe.
Naomba Nikuulize Mkuu Wa Nchi Yeye Kaongea Kipi Kizuri,Au Unataka Ndalichako Akose Ugali?Ndio shida ya kuokotwa jalalani ukiwa huna la kufanya na huwezi kujiamini na kuwa mtu huru.Kwa kuwa hujui sifa ya wewe kuwekwa ktk cheo fulani unadhania kuwa umepewa hisani sana.
EEEeeeHeeeee!You're going to cell
Duh.Waziri wa Kazi ni Mwakilishi wa Serikali sio wa Wafanyakazi na leo msemaji Mkuu upande wa Serikali ni Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
msemaji wa Watumishi ni Mwenyekiti wa Vyama vya wafanyakazi na kama mnataka mtu wa kusema shida na madai yenu basi ni huyo
ki Protocal kazi ya Waziri wa kazi leo ni ndogo sana na ndio hiyo kaifanya
Huko alikuweza, lakini huku kwingine hana kitu kabisa. Ingefaa abaki huko huko anakokuweza.Si huyu ndiye mlikuwa mnamsifia alipokuwa NECTA?
Da Joi Ndalichako Huyo Akimwaga Ngeri Ya KasuluI will put you inside [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kumbuka hicho ni cheo cha kisiasa. Utafanya kulingana na matakwa ya aliye juu yako. Kama leo anaweza kukutoa huku na kukuweka kule utasema una uhuru gani? Labda kama hutaki kufanya nae kazi.Ndio shida ya kuokotwa jalalani ukiwa huna la kufanya na huwezi kujiamini na kuwa mtu huru.Kwa kuwa hujui sifa ya wewe kuwekwa ktk cheo fulani unadhania kuwa umepewa hisani sana.
Ndalichako hajawahi kujitambua nilimdharau tangu alipoanza kuhangaika na rangi za bendera ya taifa wakati kuna mambo mengi muhimu hayaendiYani kila wakati najiuliza sana, Hawa maprof sijui akili huwa wanaziacha wapi, leo Prof katoa Pongezi na shukrani Hotuba nzima
Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?
Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?
Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.
It's shamefully
Duh.
Sycophant per excellence!
Mambo haya huwa mnayapata kwenye semina zenu au siyo?
Wizara ya kazi ni kusifu na kupongeza aliyeiunda, haina majukumu mengine yoyote?
Actually, binafsi ninakuelewa vyema sana, kwa sababu una 'track record' ya tabia za namna hiyo zinazoonekana katika maandishi yako yote humu JF.