Ndanda kuna shida ya maji sana

Ndanda kuna shida ya maji sana

Gpaghy

Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
47
Reaction score
138
Habari wakuu, Unapozungumza jimbo la Ndanda, unazungumza Abbasia ya Ndanda, abbasia ya Ndanda imekuwa msaada kwa wakaazi wa jimbo hili la Ndanda, kwenye suala la maji maana wamesupply maji yao wenyewe hadi vijijini.

Kutokana na wakazi kuongezeka wanaelemewa sasa, maji yamekuwa shida sana yanatoka kwa muda fulani tu kitu ambacho kinasababisha foleni kubwa, watu sasa hawafanyi kazi za uzalishaji badala yake wanaenda kukaa kwenye foleni!.

Mbunge wa Ndanda, mh Mwambe unafanya kazi nzuri sana, lakini liangalie hili, leteni maji msitegemee tu misheni!!

tmp-cam-1746920371263267026.jpg
 
Abbasia inaipush Sana NDANDa kongole kwao, yaani hiyo NDANDa bila abbasia mngejifia zamani sana
 
Tumeagiza Ndege zingine Boeing zaja alisikika Mama mmoja.

Ni matumaini yangu Wakazi wa Ndanda watanyweshwa Jet fuel, kazi iendelee..na kuisoma namba.
 
Back
Top Bottom