Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,560
Jana timu ya Ndanda imefanya maadhimisho ya siku yao "NDANDA Day".
Kupitia siku hii shughuli mbalimbali hufanyika kama vile usafi n.k.
Hongereni kwa hilo ingawa nina maswali kadhaa ya kujiuliza.
1.Timu imehamisha makazi yake Mtwara?
2.Kwa nini utambulisho usifanyike Mtwara kama ilivyokuwa mwaka jana?
3.Wana Mtwara wawaeleweni vipi?
4.Mliomba ridhaa ya wana Mtwara?
5.Kwa nini msiwaombe radhi wana Mtwara kwa hili?
6.Kwa shughuli ya kutembelea wagonjwa, je hospitali ya Ligula haikustahili au haikuwa na hadhi hiyo?
Naamini Mtwara ni bora zaidi kwa kuwa tungeshawishi viongozi wa mkoa kama vile RC, ma-DC,ma-DED,Wabunge,wawekezaji na wadau wengine kuiunga mkono timu yetu.
Poleni kwa yote.
Nawasilisha.
The Great Gatsby
Kupitia siku hii shughuli mbalimbali hufanyika kama vile usafi n.k.
Hongereni kwa hilo ingawa nina maswali kadhaa ya kujiuliza.
1.Timu imehamisha makazi yake Mtwara?
2.Kwa nini utambulisho usifanyike Mtwara kama ilivyokuwa mwaka jana?
3.Wana Mtwara wawaeleweni vipi?
4.Mliomba ridhaa ya wana Mtwara?
5.Kwa nini msiwaombe radhi wana Mtwara kwa hili?
6.Kwa shughuli ya kutembelea wagonjwa, je hospitali ya Ligula haikustahili au haikuwa na hadhi hiyo?
Naamini Mtwara ni bora zaidi kwa kuwa tungeshawishi viongozi wa mkoa kama vile RC, ma-DC,ma-DED,Wabunge,wawekezaji na wadau wengine kuiunga mkono timu yetu.
Poleni kwa yote.
Nawasilisha.
The Great Gatsby