Ndani ya CCM hakuna anayeona udhaifu wa Rais Samia kwenye uongozi wake?

Ndani ya CCM hakuna anayeona udhaifu wa Rais Samia kwenye uongozi wake?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa.

Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa uzito zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Hivyo nawasihi wanaccm kataeni kumteua rais Samia kuwa mgombea urais 2025,kwasbabu kashindwa:-
*Kudhibiti mfumko wa bei.
*Kudhibiti ufisadi serikalini.
*Kuujenga na kuukuza uchumi.
Rais huyu ni muumini wa kukopa tu,

Vaeni ujasiri wa Mkwawa na Nyerere ktk kulipigania taifa.
 
Wanaona vzr, lakini watafsnyaje wakati ndio kawapa kazi? Mkosoe uone balaa, kazi ipotee, mkeo akukimbie, watoto waende st kayumba, nchi ya machawa watupu,
Daah! Hatari sana. Kule kwa Biden wanaDemocrat wenzake akina Nancy Pelosi, wanampa makavu laivu kuwa mzee umechoka, usigombee.

Hapa kila mtu anaufyata.
 
Kila mtu anakula kazini kwake,ubinafsi umetawala sana Tanzania si tu kwenye uongozi, hata ngazi ya familia hali ni hiyo.
 
Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa.

Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa uzito zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Hivyo nawasihi wanaccm kataeni kumteua rais Samia kuwa mgombea urais 2025,kwasbabu kashindwa:-
**Kudhibiti mfumko wa bei.
**Kudhibiti ufisadi serikalini.
**Kuujenga na kuukuza uchumi.
Rais huyu ni muumini wa kukopa tu,

Vaeni ujasiri wa Mkwawa na Nyerere ktk kulipigania taifa.
Wapo Wachache kina mpina lakini wanakatishwa tamaa na wanachama wenzao

Tatizo lingine walililea ccm ni udini
Wengi wao hawawezi mpinga raisi wasio ekakane wadini hata kama mambo hayaendi

Sasa ni zamu ya dini Fulani ukimkosoa raisi unaonekana unachuki na dini fulani
 
Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa.

Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa uzito zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Hivyo nawasihi wanaccm kataeni kumteua rais Samia kuwa mgombea urais 2025,kwasbabu kashindwa:-
**Kudhibiti mfumko wa bei.
**Kudhibiti ufisadi serikalini.
**Kuujenga na kuukuza uchumi.
Rais huyu ni muumini wa kukopa tu,

Vaeni ujasiri wa Mkwawa na Nyerere ktk kulipigania taifa.
katiba haiko sawa
kumbuka Ndugai kilichomkuta alipomkosoa
 
Historia itakihukumu kizazi hiki kwa ubinafsi na umimi uliokithiri. Kila kiongozi analinda ugali wake, na hakuna anayejali maslahi ya taifa.

Wako wapi akina Mkwawa na Nyerere wa kizazi hiki? Hawa waliwapinga wakoloni bila kujali madhara yatakayowapata. Kwann hivi sasa maslahi binafsi yanapewa uzito zaidi kuliko maslahi ya taifa?

Hivyo nawasihi wanaccm kataeni kumteua rais Samia kuwa mgombea urais 2025,kwasbabu kashindwa:-
**Kudhibiti mfumko wa bei.
**Kudhibiti ufisadi serikalini.
**Kuujenga na kuukuza uchumi.
Rais huyu ni muumini wa kukopa tu,

Vaeni ujasiri wa Mkwawa na Nyerere ktk kulipigania taifa.
Chadema Kuna hata mmoja anayeona zuri hata Moja la Mama au CCM?
 
Wewe acha mama aendelee kuupiga mwingi.
Nchi hii hata ukipewa wewe wananchi watalalamika tena wanaweza kukuondoa within 100days.
Tuwe na utamaduni wa kusema ukweli bila kuegemea upande wowote.
Kwa mtazamo wangu mama anajitahidi sana tena sana ila kuna watu kwa uroho wao wanataka kuwaaminisha wananchi kuwa mama hawezi kitu.
Kukopa ni sehemu ya maisha ya wanadamu cha muhimu ni usimamizi bora wa mikopo husika ilete tija wa wananchi.
 
Wewe acha mama aendelee kuupiga mwingi.
Nchi hii hata ukipewa wewe wananchi watalalamika tena wanaweza kukuondoa within 100days.
Tuwe na utamaduni wa kusema ukweli bila kuegemea upande wowote.
Kwa mtazamo wangu mama anajitahidi sana tena sana ila kuna watu kwa uroho wao wanataka kuwaaminisha wananchi kuwa mama hawezi kitu.
Kukopa ni sehemu ya maisha ya wanadamu cha muhimu ni usimamizi bora wa mikopo husika ilete tija wa wananchi.
Cha muhimu ni usimamizi wa mikopo
 
Back
Top Bottom