Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!

Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!

Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Mkuu chadema kuna ufisadi wa kutisha,ngoja tukamilishe ushahidi tuu,mtashangaa.
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Hao wasioridhika si watoke waende ccm
 
KATIKA MFUMO WA CHADEMA, SIASA ZA AJABU AJABU ZA TUNDU LISSU, SIO SIASA ZENYE AKILI ZINAZOPENDWA NA MFUMO WA CHADEMA, MFUMO WA CHA CHADEMA UMEJENGWA NA VERY IRONICAL STRONG SYSTEM ZISIZO ZA KUROPOKA HOVYO HOVYO, IKUMBUKWE CHADEMA IMEJENGWA NA WATU WENYE AKILI TIMAMU HIGH I. Q, HIVYO TUNDU LISSU AACHE ROPO ROPO, SI MFUMO WA CHADEMA!
 
Ningependa siku moja TL, atuthibitishie juu ya uuzwaji wa mbuga ambao amekuwa akiuimba kwa vielelezo madhubuti (sales documentations) ili serekali ijitokeze na reality! Nini kimefanyika!
Amekuwa akiichafua mno, serekali kwa kusikiliza radio mbao!
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
We"Jino la mamba" unataka wale waliopewa mijihela na mama Abdul wawe na sauti

Una maumimivu makali sana chama makini kukataa rushwa
 
Gwajima ni Rais ajaye, tunza hii.
Wewe mpumbavu akili yako inakwenda kinyume nyume tu. Ukichoka kumpigia debe Zerobrain Makonda unahamia kwa porn Star Gwajima. Endelea na ulemavu wako wa akili
 
Back
Top Bottom