Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Ni shwari kabisa uchawi tu unawasumbuaHali ndani ya chadema ni shwari?, kuwa tu muwazi maana uwazi ndiyo ujenzi wa chama chochote kile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shwari kabisa uchawi tu unawasumbuaHali ndani ya chadema ni shwari?, kuwa tu muwazi maana uwazi ndiyo ujenzi wa chama chochote kile!
Mkuu chadema kuna ufisadi wa kutisha,ngoja tukamilishe ushahidi tuu,mtashangaa.Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Hao wasioridhika si watoke waende ccmKwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Covid hawatakiwi ccm pia labda act nako si salama Kuna udalali na uchawa mwingiCovid wanatapatapa nasikia nahuko MNAFUKUZWA
Wametoka na chama hicho mbali sana haiwezekani lazima wagawane fito na milunda 😀😀😀Hao wasioridhika si watoke waende ccm
Nafuu Halima Mdee arudi kuliko huyo tapeli wa Biblia Gwajima"Jimbo lake"🤔
Akili za kiccm kama wachawiWametoka na chama hicho mbali sana haiwezekani lazima wagawane fito na milunda 😀😀😀
We"Jino la mamba" unataka wale waliopewa mijihela na mama Abdul wawe na sautiKwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Gwajima ni Rais ajaye, tunza hii.Nafuu Halima Mdee arudi kuliko huyo tapeli wa Biblia Gwajima
Mbunye yake. A mrudishie nananiMdee katoa sharti CCM wakimtaka wamrudishie Jimbo lake la Kawe
Wewe mpumbavu akili yako inakwenda kinyume nyume tu. Ukichoka kumpigia debe Zerobrain Makonda unahamia kwa porn Star Gwajima. Endelea na ulemavu wako wa akiliGwajima ni Rais ajaye, tunza hii.