Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!

Mkuu chadema kuna ufisadi wa kutisha,ngoja tukamilishe ushahidi tuu,mtashangaa.
 
Hao wasioridhika si watoke waende ccm
 
KATIKA MFUMO WA CHADEMA, SIASA ZA AJABU AJABU ZA TUNDU LISSU, SIO SIASA ZENYE AKILI ZINAZOPENDWA NA MFUMO WA CHADEMA, MFUMO WA CHA CHADEMA UMEJENGWA NA VERY IRONICAL STRONG SYSTEM ZISIZO ZA KUROPOKA HOVYO HOVYO, IKUMBUKWE CHADEMA IMEJENGWA NA WATU WENYE AKILI TIMAMU HIGH I. Q, HIVYO TUNDU LISSU AACHE ROPO ROPO, SI MFUMO WA CHADEMA!
 
Ningependa siku moja TL, atuthibitishie juu ya uuzwaji wa mbuga ambao amekuwa akiuimba kwa vielelezo madhubuti (sales documentations) ili serekali ijitokeze na reality! Nini kimefanyika!
Amekuwa akiichafua mno, serekali kwa kusikiliza radio mbao!
 
We"Jino la mamba" unataka wale waliopewa mijihela na mama Abdul wawe na sauti

Una maumimivu makali sana chama makini kukataa rushwa
 
Gwajima ni Rais ajaye, tunza hii.
Wewe mpumbavu akili yako inakwenda kinyume nyume tu. Ukichoka kumpigia debe Zerobrain Makonda unahamia kwa porn Star Gwajima. Endelea na ulemavu wako wa akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…