Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Jamaa ni libonge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Joseverest ongea na mshana akusaidie urudishe kasi yako ya kuComment wa kwanza kabisa ktk kila post jf maana siku hz umekuwa bwege [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Cc. mshana jr saidia hii raia Joseverest
 
Mambo ya afro 70? Wakat nipo kijana nlikuwa napenda sana style hii. Nachomeka na chanio kichwani.miaka hiyo na suruali zetu bwanga shati za kubana. Au zile shati eagle/ juliana... Safi sana.
Hahahahha
 
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Duh!, Kilo 120?,halafu unasema wewe sio kibonge, brother be serious bhana.
 
weka picha
.
WHDQ-513189079.jpg
 
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Angalia BMI kama ipo normal
 
habar zenu wakuu , tupoe na mihangaiko ya hapa na pale

Moja kwa moja kwenye mada husika

Tangia nijiunge na jf kumekua na huyu member aitwae mshana jr yaan mada zake nying ni kuhusu yale mambo ya kiswahili yaani mambo ya tunguli , ramli , kutafsiri ndoto nk

Kwa kweli binafsi si mpenzi wa mada zake huyu jamaa ikizingatiwa kua si mambo ya kuyatilia maanani sna

Basi siku ya jana tarehe 26/8 wakati narudi kwenye mihangaiko yangu ndani ya usafiri wa umma aiseeee !!

Sitaki kuamini kama yule jamaa si mshana jr ,kwa jinsi gari nzima yaan ipo kimya jamaa anachambua mambo ya ramli kiunaga ubaga hadi nikapigwa na butwaaa yaani elimu kama hizi watu wapata wapi au wamerithishwa na mababu ?

Jamaa ni libonge hilo , limevalia ki brother man ila vitu anavyochambua unaweza sema katoka kuzimu

Kumbe mshana jr ni bonge vile , kwa jins jamaa alivyokua anachambua mambo ya ramli na confidence hapo hapo nikasema yeess leo nimepanda gari moja na mshana jf


Mshana jr tafadhali sna mkuu hemu njoo utoe uthibitisho huku kua ulikua ni wewe halisi au kama unawanafunzi wako hapa dar city centre pia tujue

Ahsanteni .....


Mshana Jr si bonge kivile, isipokuwa yeye ni mchawi na ana uwezo wa kujibadlisha mda wowote na ndiyo maana hakamatwi kwani anatafutwa kwa utapeli. huu mwaka wa 11 sasa.
 
Mshana Jr si bonge kivile, isipokuwa yeye ni mchawi na ana uwezo wa kujibadlisha mda wowote na ndiyo maana hakamatwi kwani anatafutwa kwa utapeli. huu mwaka wa 11 sasa.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31] [emoji31]
 
Back
Top Bottom