Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ndani ya daladala moja na Mshana Jr..

Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Asiwadanganye hayupo hata hiyo bongo ndo maana mnamwona saa 8 usiku. Mwenzenu yupo anapiga nondo nimeshatoneshwa na mtu wake. cc: mshana jr.
 
Asiwadanganye hayupo hata hiyo bongo ndo maana mnamwona saa 8 usiku. Mwenzenu yupo anapiga nondo nimeshatoneshwa na mtu wake. cc: mshana jr.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100]
 
Mshana apande dala dala na umugundue??

Atakuwa mzembe wa mwaka na kitu ambacho hakiwezi kutokea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji144] [emoji144] Jamani sasa mimi niko wangapi? Nilishawahi kumsaidia tu mtu mmoja huko tena ilikuwa home kwa jamaa yangu.. Mara moja tuu

Njoo nyumbani kwangu unisaidie na mimi jamani Mshana Jr. Na wewe nitakusaidia [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Njoo nyumbani kwangu unisaidie na mimi jamani Mshana Jr. Na wewe nitakusaidia [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Niambie utanisaidiaje kwanza [emoji12] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Jamaa ni libonge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
na
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Umesahau Makutano Mabibo
 
Ufafanuzi
Huyo jamaa si mimi japo pia nilishawahi kufananishwa naye zaidi ya mara moja nje ya Jamiiforums
Mimi sio kibonge nina kilo 120 tu... Wajihi wangu ni cheusi tii...
Sehemu ambazo nishadaiwa kuonekana ni Mbeya, Kigoma Bukoba Mwanza kahama Arusha na Sumbawanga
Mshana jr toa ufafanuz mm binafsi nataman kukuona na kukujua
Hamna shida ngoja nirejee nchini tutaonana
 
Back
Top Bottom