Ndani ya Daladala!......

Kuna siku nilimuwekea mdada mzigo wa poombu begani I makusudi kabisa Mimi nimesimama ye kakaa nilikua namuona tuu pumzi zinavyokata, anahema juu juu akashyka mtu akasogea nilivyokaa nikamwambia polee tulikuwa tumebanana sana, akaishia kucheka tukaendelea na story nyingine
 
Hahaha jamani jf kuna kila aina ya sampuli looh
 
Aisee kumbe wapo wanaopanda daladala!!

Nilijua ni mimi tu kumbe tupo wengi!

hahahaahah, tupo wengi. Tena kama mimi sijawahi hata kumiliki ile baiskeli yenye kakikapu mbele. hahahaahhahhah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…