Ndani ya masaa 24, Kenya imepima sampuli 766 na kugundua 6 zenye Corona

Ndani ya masaa 24, Kenya imepima sampuli 766 na kugundua 6 zenye Corona

Now that is just plain rudeness she/he had a point! You can not treat what you can not test.
Have you not realized that lockdowns, mass testings etc are just kicking the can down the road. There is no cure for c-19, any easing of lockdowns immediately increases imported cases.
Lockdowns & mass testings are only ideal where vaccine is administered to those who are negative while positives are isolated n "treated"
Kenya, usa & Italy are chasing their own tails while H.E Magufuli is implementing what novel disease outbreaks require -HERD IMMUNITY.
 
"Incubation period" ni siku 14 kiasi cha vipimo hivyo kuweza kugundua wakati aliyeambukizwa aweza kuambukiza siku ya kwanza. Hata nchi tajiri hazijafanya "massive testing". Nadhani umenipata.

Kipimo cha uhakika ni wewe mwenye kuzingatia ushauri wa kutokuambukizwa, la hata ukipimwa ukajisikia salama na kujirusha utaambukizwa na mwishowe ni kifo.
Germany wanapima watu laki moja na ushee kwa wiki. Na next week wanaanza kupima serology ili kujua wale waliambukizwa ila hawakuugua.
Kuhusu incubation kama ukipimwa ukawa negative unaweza rudia tena kupima baada ya siku kadhaa inategemea na kama ulikuwa exposed.Hivyo incubation period haitufanyi tusipime watu massively.
 
"Incubation period" ni siku 14 kiasi cha vipimo hivyo kuweza kugundua wakati aliyeambukizwa aweza kuambukiza siku ya kwanza. Hata nchi tajiri hazijafanya "massive testing". Nadhani umenipata.

Kipimo cha uhakika ni wewe mwenye kuzingatia ushauri wa kutokuambukizwa, la hata ukipimwa ukajisikia salama na kujirusha utaambukizwa na mwishowe ni kifo.
That's what we should teach our politicians. Prof. Tibaijuko nimeanza kumwelewa kwamba we are brain washed by mabeberu. Hata lockdown ni ya kuiga bora kulazimishana kufunga midomo na pua ikiambatana na testing the suspected works better than testing massively.
 
Hivi jamani mnataka kusema .
Kuanzia ile tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo tarehe 14 mwezi wa 4.
Hapa Tanzania tuna wagonjwa wengi lakini HAWAONEKANI?.
Hivi kuanzia hyo tarehe mpaka leo.
Unajua ulaya na marekani wamekufa watu wangapi na wameambukizwa watu wangapi?.
Mpaka mtu aonekane ana corona uchukua siku 2-14 .
Ina maana tangu tarehe ya kwanza ilipoingia corona hapa Tanzania kuna watu wanaumwa na wanakufa kwa corona lakini serikali inaficha?
Kwanini hatutaki KUUKUBALI UKWELI?[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Germany wanapima watu laki moja na ushee kwa wiki. Na next week wanaanza kupima serology ili kujua wale waliambukizwa ila hawakuugua.
Kuhusu incubation kama ukipimwa ukawa negative unaweza rudia tena kupima baada ya siku kadhaa inategemea na kama ulikuwa exposed.Hivyo incubation period haitufanyi tusipime watu massively.
I disagree with you Vicky. Tukifunika midomo na pua wiki mbili tutabaini wote walioambukizwa na kupima hao hao tu. Upimaji wa jumla wakati midomo na pua viko wazi ndani ya mwendo kasi tutakesha.
 
Have you not realized that lockdowns, mass testings etc are just kicking the can down the road. There is no cure for c-19, any easing of lockdowns immediately increases imported cases.
Lockdowns & mass testings are only ideal where vaccine is administered to those who are negative while positives are isolated n "treated"
Kenya, usa & Italy are chasing their own tails while H.E Magufuli is implementing what novel disease outbreaks require -HERD IMMUNITY.
Now look at this idiotic rant. Of course there is no cure but you must test massively and isolate contacts and confirmed cases to bring the R-0 to less than one. Here is a hint south korea.This is not even a point of argument, all countrie that have done mass testing and tracing of contacts have been able to bring the infectivity of covid19 (R-0) down in a matter of weeks.
 
Have you not realized that lockdowns, mass testings etc are just kicking the can down the road. There is no cure for c-19, any easing of lockdowns immediately increases imported cases.
Lockdowns & mass testings are only ideal where vaccine is administered to those who are negative while positives are isolated n "treated"
Kenya, usa & Italy are chasing their own tails while H.E Magufuli is implementing what novel disease outbreaks require -HERD IMMUNITY.
Netherlands tried the herd immunity strategy guess how well it worked out for them. They had to put their elderly under lockdown and encourage social distancing among the young. They have also done mass testing of their population
 
Jirani mkiendelea na kupima massively wakati midomo na pua viko wazi mtapima mpaka Yesu arudi. Nchi zetu zihamasishe barakoa kuliko lockdown.

Hatujapata sababu za kwenda lockdown, kwa sasa tunapima ili kuhakikisha hatuambukizani zaidi, hao wote ambao tumewagundua leo hii tungekua tumewaachia mtaani kama mnavyofanya kwenu, wangesambaza kirusi kote kote.
Kumbuka kuna hadi Watanzania wametuibukia huku, tukawagundua na kirusi baada ya kupimwa, hebu wewe waza mpaka wanafika huku ina maana huko mnaogelea kwa kirusi. Sema ni ile tu kwa bahati hiki kirusi hakionekani kuwa na makali ya kuua Waafrika, hivyo wengi tunaambukizwa hata bila ya kujua tunacho.
 
"Incubation period" ni siku 14 kiasi cha vipimo hivyo kuweza kugundua wakati aliyeambukizwa aweza kuambukiza siku ya kwanza. Hata nchi tajiri hazijafanya "massive testing". Nadhani umenipata.

Kipimo cha uhakika ni wewe mwenye kuzingatia ushauri wa kutokuambukizwa, la hata ukipimwa ukajisikia salama na kujirusha utaambukizwa na mwishowe ni kifo.

Ushauri wako huu una kasoro ukichukua muda wako kutafakari, fahamu kuwa asilimia kubwa ya hawa tunaowagundua kuwa nacho hawakua na dalili hata kidogo, ni ile tu kwamba walifuatwa kisa kwa namna moja au nyingine waliwahi kuhusiana na waathirika wa mwanzo, inaitwa contact tracing. Waathirika wa mwanzo walihojiwa wakatoa orodha ya kila waliyehusiana naye, na hao wakafuatwa, kisha aliyefuatwa akaulizwa aandae orodha ya wote aliohusiana nao tangu akutane na muathirika, hivyo mtandao ukafuatwa na ndio hawa ambao wanapimwa na kukutwa na kirusi,
Tungewaacha kizembe watambe mtaani kama Tanzania inavyofanya, kirusi kingekua kinatemwa kila mahali.

Sasa hivi mikakati inaandaliwa ya kupima nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango maana tunataka kurudisha watoto shuleni, maisha yarudie hali ya kawaida hivyo itabidi kupima maelfu kwa mkupuo.
 
Hivi jamani mnataka kusema .
Kuanzia ile tarehe 17 mwezi wa 3.
Mpaka Leo tarehe 14 mwezi wa 4.
Hapa Tanzania tuna wagonjwa wengi lakini HAWAONEKANI?.
Hivi kuanzia hyo tarehe mpaka leo.
Unajua ulaya na marekani wamekufa watu wangapi na wameambukizwa watu wangapi?.
Mpaka mtu aonekane ana corona uchukua siku 2-14 .
Ina maana tangu tarehe ya kwanza ilipoingia corona hapa Tanzania kuna watu wanaumwa na wanakufa kwa corona lakini serikali inaficha?
Kwanini hatutaki KUUKUBALI UKWELI?[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"

Kwani hapa Kenya ndio wanakufa kama Ulaya? shukuru kwamba Afrika hatufi kama Ulaya, kuna sababu za kwanini hiki kirusi kimetuhurumia. La sivyo tungekua tunadondoka milioni kwa siku.
Inawezekana Tanzania haifichi data, sema uwezo wa kupima watu wengi ndio hamna, nyie ni kama Burundi ambao ukiwauliza leo wanasema wana wagonjwa wawili tu kisa uwezo wa kupima ni mdogo, ukilinganisha na Rwanda ambao wao wana waathirika zaidi ya mia.
Mwafrika wa kawaida akiumwa mafua hawezi kwenda hospitali, yaani mpaka uone Mwafrika ameenda hospitalini jua kweli ni mgonjwa.
Hivyo kama mumekaa mnasubiri Watanzania waje kuwaambia wanahisi wanaumwa Corona, basi mtasubiri sana, ikiwa hata waziri wenu mwenyewe aliogopa hataki kwenda karantini, akawa amejificha kwenye hospitali ya kawaida.
 
Now look at this idiotic rant. Of course there is no c9ure but you must test massively and isolate contacts and confirmed cases to bring the R-0 to less than one. Here is a hint south korea.This is not even a point of argument, all countrie that have done mass testing oj9nd tracing of contacts have been able to bring the infectivity of covid19 (R-0) down in a matter of weeks.
Herd immunity is the end game. That is what keeps smallpox from infecting you. How to achieve it is by massive vaccination or if that is not available, let nature take its cause - That is how africans have survived millions of years in the african jungle with little or no modern medicine.
Testing, retesting, curfews , lockdowns is kicking the can down the road
 
Back
Top Bottom