Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,330 na kupata waathirika 8, halafu saba zaidi wamepona

Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,330 na kupata waathirika 8, halafu saba zaidi wamepona

Ulikuwa unaikejeli Kenya ukitupa hongera za kinafik eti kwasababu tuna kesi nyingi zaidi yenu. Ushahidi upo hata kwenye ukarasa huu. Naona baada ya kupewa takwimu kama zilivyo;
Umeanza kusema kwamba Kenya ni kanchi kadogo. Nauliza hivi, huna hamu kabisa ya kusifiwa kwasababu mnaongoza?
Kipyenga ndio kwanza kimepulizwa na mpira ni dakika tisini. Subiri kwanza.
 
Kipyenga ndio kwanza kimepulizwa na mpira ni dakika tisini. Subiri kwanza.
Huu upumbavu sio wa dunia hii. Huo ndio ushauri ambao tumekuwa tukiwapa tangia siku ya kwanza, kwamba muache papara. Huku tukiwasisitizia kwamba maambukizi ya virusi hivyo sio mashindano. Eti kipyenga na dakika tisini, kwenye suala linalohusu hadi maafa ya ndunguzo? Hamna akili kabisa nyinyi viumbe.
 
Ndio, ni sawa tumekubali bado tunaaongoza, lakini hata wewe unafaa kushtuka ukiona mnaongeza watu themanini ndani ya masaa 24....

Alafu technically, Kwasasa Kenya iko na total cases nyingi kuliko TZ, lakini ukiangalia hizi takwimu za leo,Kenya kuna 14 walifariki na pia kuna wagonjwa 69 wengine walipona na kurudi negative na waliruhusiwa kwenda nyumbani, kwahivyo wale walio na corona Kenya ni 198, lakini Tanzania walio pona ni 11 pekee kwahivyo bado mko na active case 233... So technically speaking, leo hii 20-Apr-2020, Tanzania iko na wagonjwa 233 hospitalini walio na corona na kenya iko na wagonjwa 198 wa corona walio hospitalini!

View attachment 1425037

Naomba link ya kupata hizi taarifa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huu upumbavu sio wa dunia hii. Huo ndio ushauri ambao tumekuwa tukiwapa tangia siku ya kwanza, kwamba muache papara. Huku tukiwasisitizia kwamba maambukizi ya virusi hivyo sio mashindano. Eti kipyenga na dakika tisini, kwenye suala linalohusu hadi maafa ya ndunguzo? Hamna akili kabisa nyinyi viumbe.
LOL mbona unalia sasa? 😅😅😅
 
tuendelee na maombi jamani, what is ze barakoaa!!😂
 
Back
Top Bottom